Ni kweli kabisa.
Nimejaza fomu za kufungua joint account mimi na mke wangu lakini leo ni mwezi wa pili naambiwa watu IT hawajaweza kutatua shida.
Pia hawana kauli nzuri na ya kumthamini mteja.[/QU Unauweka usiku bure! Panga halikati mti mpaka nyuma liwe limeshikiliwa. Wanaona usomeki, utasuri sana.