NMB interviews

NMB interviews

tobe

Member
Joined
Apr 8, 2014
Posts
8
Reaction score
11
Habari wadau, kwa waliowahi kufanya interview za nmb msaada tafadhali, written interview zao zinakuaje?
 
habari wadau, kwa waliowahi kufanya interview za nmb msaada tafadhali, written interview zao zinakuaje?

kuna kuwa na aptitude test , hapo asikudangany mtu akili mukichwa , ukija unajua kama hujui hujui hazinaga fomula , hesb za kitoto na logic za hapa na pale , siye tulifany mor than 70 tukaitw 25 , baaadaye inakuj oral , kikubwa ni kuelew field yako kiundan
 
kuna kuwa na aptitude test , hapo asikudangany mtu akili mukichwa , ukija unajua kama hujui hujui hazinaga fomula , hesb za kitoto na logic za hapa na pale , siye tulifany mor than 70 tukaitw 25 , baaadaye inakuj oral , kikubwa ni kuelew field yako kiundan

ahsante sana mdau.
 
kuna kuwa na aptitude test , hapo asikudangany mtu akili mukichwa , ukija unajua kama hujui hujui hazinaga fomula , hesb za kitoto na logic za hapa na pale , siye tulifany mor than 70 tukaitw 25 , baaadaye inakuj oral , kikubwa ni kuelew field yako kiundan
@rutuba aptitude huwa ni ngapi zinafanyika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
me naomba inigusie apo kwenye field maana ndo tunakaribia kufanya so sijui inakuaje nope info kidogo
kuna kuwa na aptitude test , hapo asikudangany mtu akili mukichwa , ukija unajua kama hujui hujui hazinaga fomula , hesb za kitoto na logic za hapa na pale , siye tulifany mor than 70 tukaitw 25 , baaadaye inakuj oral , kikubwa ni kuelew field yako kiundan
 
Back
Top Bottom