Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 319
- 209
hli ni la kwel nam nmeskia, ati pana maagzo kutoka juu makao makuu kutotoa mikopo mpka mwez agosti tarehe haijulikani, labda maswala ya kutakatisha pesa wako ktk uchunguz
Kwa nmb, mteja ni fanfa
hebu jaribu kuwachek makao makuu kwa cm usikie wanasemaje
Hawana pessa
hilo sio lazima wakwambie
wakuu ni wiki ya tatu hii tangu nilipoomba mkopo nmb lakini cha ajabu hakuna chochote hadi sasa kila nikienda naambiwa eti kuna matatizo ya mtandao kutokana na makao makuu kufanya marekebisho ya loan system hivyo mikopo yote imesitishwa hadi leo.
Sasa najiuliza je wanavyotufanyia ni haki maana hata malengo ya kukopa naona yanaanza kupotea kutokana na muda kuwa mrefu sana hadi nafikiria hata nihairishe.
Kwa mtindo huu crdb watawapiga bao na hayo marekebisho yenu yasiyofika mwisho.
nmb ni janga