knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,403
- 2,006
Habar wakuu
Naimani mkopowa wote haya njoeni tusimuliane.
nikikumbukaga nacheka sana kipindi niko chuo hiyo siku nilikosea kutuma text nilikuwa nachati na mubebe unajua zile text za malavdav sio powa sasa bhana katika kuchati nilikuwa nachati na watu wawili katika kutuma sasa si ndio nikakosea kuja kushtuka text nimeituma kwa Mama bwaaana weee asikwambie mtu babu nilitamani kama ningekuwa nina uwezo wa kuikimbiza ile message niikimbize kama SuperMan niikamate isiende lakini wapi ndio kwanza ngoma inarudisha delivered yaani kwa kunihakikishia ulichotuma kimefika.
Hapohapo nikazima na simu wenge kama lote akili ishavurugika Usifanye masihara nikasema kivumbi leoo kuwasha simu naona sio kweli nikakaa baadae nikaona haina maana ni bora niwashe tu simu eebhana ile nawasha tu ngoma inaita kucheki Mama daah ila niliyamaliza yakaisha japo haikuwa rahsi nilikomaa kiume.
Nakumbuka tena kuna siku nipo na jamaa yangu sana na yeye alikuwa anachati siku moja tumekaa katika kuchati kwake kumbe alikuwa anachati na mwanamke wake hapohapo pia anachati na mchepuko bhaana si akajichanganya message ya mchepuko akatuma kwa mwanamke wake nilicheka sana sikuiona jamaa ujanja wote mfukoni maana kilinuka balaa lake lilikuwa zito jamaa alitamani kulia ilibidi nimsaidie kiume kesi nikabeba mimi mpaka tunalimaliza lile valangati mwamba yuko makini siopowa.
Tupe na wewe ya kwako ilikuaje msala wako wa kukosea message.
Naimani mkopowa wote haya njoeni tusimuliane.
nikikumbukaga nacheka sana kipindi niko chuo hiyo siku nilikosea kutuma text nilikuwa nachati na mubebe unajua zile text za malavdav sio powa sasa bhana katika kuchati nilikuwa nachati na watu wawili katika kutuma sasa si ndio nikakosea kuja kushtuka text nimeituma kwa Mama bwaaana weee asikwambie mtu babu nilitamani kama ningekuwa nina uwezo wa kuikimbiza ile message niikimbize kama SuperMan niikamate isiende lakini wapi ndio kwanza ngoma inarudisha delivered yaani kwa kunihakikishia ulichotuma kimefika.
Hapohapo nikazima na simu wenge kama lote akili ishavurugika Usifanye masihara nikasema kivumbi leoo kuwasha simu naona sio kweli nikakaa baadae nikaona haina maana ni bora niwashe tu simu eebhana ile nawasha tu ngoma inaita kucheki Mama daah ila niliyamaliza yakaisha japo haikuwa rahsi nilikomaa kiume.
Nakumbuka tena kuna siku nipo na jamaa yangu sana na yeye alikuwa anachati siku moja tumekaa katika kuchati kwake kumbe alikuwa anachati na mwanamke wake hapohapo pia anachati na mchepuko bhaana si akajichanganya message ya mchepuko akatuma kwa mwanamke wake nilicheka sana sikuiona jamaa ujanja wote mfukoni maana kilinuka balaa lake lilikuwa zito jamaa alitamani kulia ilibidi nimsaidie kiume kesi nikabeba mimi mpaka tunalimaliza lile valangati mwamba yuko makini siopowa.
Tupe na wewe ya kwako ilikuaje msala wako wa kukosea message.