barakachaplin
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 118
- 53
Jamaa alikosea kutuma pesa akatuma mil2 kwa
no tofauti. Akafikilia cha kufanya akaja na hii:
''Hello natumai u mzima. Naamini umepokea
pesa niliyokutumia. Ni kwa ajili ya mwanzo wako
wa kuingia katika Amri za mtukufu shetani kwa
utambulisho utakofanyika kesho saa 6 usku. Hiyo
pesa n kwa ajili ya nauli tu. Nitakutumia zaidi
kwa shopping. Kuna matajiri wanakusubiri ktk
huu ufalme. Wiki 2 baada ya utambulisho
mwanafamilia wa karibu zaidi na moyo wako
atakufa, hii itafungua ticket ya utajiri na utakuwa
na uwezo wa kuruka usku kwenda sehmu yyote
duniani. Natanguliza shukrani. Lkn kma ikitokea
haupo tayari kujiunga, tafdhali rudisha pesa la
sivyo utakufa ndani ya saa 24 zijazo...
......dkk 5 baadae, akapata MSG inayosema;
Tafdhali tuma mil2 zingne, rafki yangu nae
anahitaj !..... Jamaa akazmia. Uscheke pke yako
share na rafki zako
no tofauti. Akafikilia cha kufanya akaja na hii:
''Hello natumai u mzima. Naamini umepokea
pesa niliyokutumia. Ni kwa ajili ya mwanzo wako
wa kuingia katika Amri za mtukufu shetani kwa
utambulisho utakofanyika kesho saa 6 usku. Hiyo
pesa n kwa ajili ya nauli tu. Nitakutumia zaidi
kwa shopping. Kuna matajiri wanakusubiri ktk
huu ufalme. Wiki 2 baada ya utambulisho
mwanafamilia wa karibu zaidi na moyo wako
atakufa, hii itafungua ticket ya utajiri na utakuwa
na uwezo wa kuruka usku kwenda sehmu yyote
duniani. Natanguliza shukrani. Lkn kma ikitokea
haupo tayari kujiunga, tafdhali rudisha pesa la
sivyo utakufa ndani ya saa 24 zijazo...
......dkk 5 baadae, akapata MSG inayosema;
Tafdhali tuma mil2 zingne, rafki yangu nae
anahitaj !..... Jamaa akazmia. Uscheke pke yako
share na rafki zako