Wimbo,tupe beti ya pili tukusikie.Tena mpalame sawa sawa lakini hampati kitu.
Karibu shujaa wetu, Mangula Nape, kinana,
Wapinzani huku kwetu, wameanza kutengana,
Noo mjenge chama chtu, rudisha walionuna,
Karibuni Sumbawanga, Mangula,Nape, Kinana.
Ziara yenu ya kwanza, iwe ya kheri twaomba,
Nishani tutawatunza, mafisadi kuwakomba
Kukimbia wameanza, walokuwa wanatamba,
Kribuni Sumbawanga Mangula Nape Kinana.
alafu aaweee. we chipe-nna! unsina mano. kapoli wino. yalukuletela chani yankalako yao. ayifi yakulu yao. yasini-impya yakalulete yao. iyia implia zyosi. tuluchula fikwene, mweeeeeeee! yaluchilola panachafika. CDm ali mkombozi wa maka. tenu-monsi wa maka, CCM aku-mpe wio. i-ns=oofi ngutamanyire. ala!
Hahahah!haha haha! Haha! Umeamua kumjibu kwa kifipa kabisa..huyo bila shaka atakuwa anatokea Matai huko ambako m4c bado haijapita!
Tukitoka Sumbawanga, twenda kuitwaa Mpanda,
Hata kama mkiwanga, hakuna wa kutupinda,
Tumekwisha kujipanga, Mwanza nako tunapanda,
Tumewachekea sana, Lakini sasa tumenuna.