Uzuri ni kuwa unajua kuwa heshima na thamani ya mtu mwongo anayejijua kuwa mwongo kama wewe ni sawa na ya msukule. Mtu mzima na akili zako huwezi ukawa unawaza kuandika uongo kila siku, umechanganyikiwa kiasi hata hujitambui. Angalia picha za ukweli kuhusu mkutano wa Lowassa Njombe na Makambako hapa LOWASSA AITIKISA MAKAMBAKO NA NJOMBE LEO | MTAA KWA MTAA BLOG
Uzuri ni kuwa unajua kuwa heshima na thamani ya mtu mwongo anayejijua kuwa mwongo kama wewe ni sawa na ya msukule. Mtu mzima na akili zako huwezi ukawa unawaza kuandika uongo kila siku, umechanganyikiwa kiasi hata hujitambui. Angalia picha za ukweli kuhusu mkutano wa Lowassa Njombe na Makambako hapa LOWASSA AITIKISA MAKAMBAKO NA NJOMBE LEO | MTAA KWA MTAA BLOG
Huyu uongo wake wa Ajabu.Kurusha picha Hivi yenye mtazamo tofauti hajui kwamba TV Zinaturushia hali halisi ya matukio?Mbona kiwewe jamani?Kwa nn tunatoka jasho?kumbuka wale unaodhamiria kuwarushia hizi picha za uongo vjjn hawana sm za kisasa kuona picha zako.Wao wanasubiri kuona matukio live ndo wapate habari.