Njiwa hawa wanatafutwa

mwalwisi

Member
Oct 6, 2010
45
22
Jamani kuna rafiki yangu kanitumia email anatafuta njiwa hao kwenye picha, yeyote aliye na taarifa chonde twaomba msaada tuelekeze wanakopatikana
 

Attachments

  • IMG_0152.JPG
    IMG_0152.JPG
    533.2 KB · Views: 71
  • IMG_0153.JPG
    IMG_0153.JPG
    462.7 KB · Views: 71
  • IMG_0146.JPG
    IMG_0146.JPG
    454.2 KB · Views: 54
ni wa dawa, chakula ama urembo (Kufuga tu)?

nenda masokoni, BUguruni, Ilala, Magomeni, Tandika utapata tu
 
Back
Top Bottom