Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Dada zangu kabla haujaingia kwenye mahusiano na jamaa yeyote yule.
Akianza kukusumbua fanya hivi...
Chukua picha yake post facebook, instagram, twitter, Snapchat na WhatsApp status uliza huyu boyfriend wa nani..?
( Hakikisha unamTag )
Kama ikipita wiki hakuna alojitokeza
Kusema ni wakwake, uko huru kujibebea..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akianza kukusumbua fanya hivi...
Chukua picha yake post facebook, instagram, twitter, Snapchat na WhatsApp status uliza huyu boyfriend wa nani..?
( Hakikisha unamTag )
Kama ikipita wiki hakuna alojitokeza
Kusema ni wakwake, uko huru kujibebea..!
Sent using Jamii Forums mobile app