amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,200
Mji mdogo wa Himo ulisimama kwa muda kumpisha Lowassa. Jamani nimeshachoka kuripoti nyomi la Lowassa yaan numeshalizoea imekuwa ni hali ya kawaia kwetu
Haliyake kiafya anaendeleaje?
Haliyake kiafya anaendeleaje?
Haliyake kiafya anaendeleaje?
Haliyake kiafya anaendeleaje?
Mnao subiri lowasa kuwa rais andaeni na dawa za preshar.
Asipokuwa rais nitashangaa sana
Haliyake kiafya anaendeleaje?