kwa simu i think better ucharge huku umeizima, kwa laptop hebu fuata uzi huu https://www.jamiiforums.com/tech-ga...o-extend-laptop-battery-life.html#post4757868
ni makosa makubwa kucharge laptop kama simu, kwa maana kuizima na kuiweka kwenye umeme. simu its recommended,
laps ni kama komputer ingine \(desktop ikiwa kwenye UPS, TUMIA laptop ikiwa kwenye umeme, ikiwa imefikia moto na
moto ni wakutosha si lazima asilimia 100 unplug tumia bila kuwa kwenye umeme. ama ikiwa imefika mia, na unadhani
bado unahitaji kutumia au kufanya kazi zako, fanya mambo mawili
unplug kabisa tumia ukiwa unpluged. ama chomoa betry yako, tumia moja kwa moja(ingawa hii ya moja kwa moja umeme ukikatika ni mbaya)