- Thread starter
- #21
Hata mm nimeliwaza hili. Yawezekana demu ndiyo chanzo cha danadana hiiKama demu hakupemdi hata hiyo mimba yenyewe haitongia, na kama anakupenda kweli (ambapo sidhani kama ni kweli vinginevyo wala usingekuja hapa kuomba ushauri) angekuwa na wewe, hivyo acha kujidanganya!