Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
..Crispin..tuache utani kuna vibaa medi viko bomba unajikuta mwanaume unashangaa kwa nini kaliamua kufanya hiyo kazi...Kuna wakati mi nilikaribia kunasa kwa bar medi mmoja Rose Garden kalikuwa matata sana huwezi kuamini nilikuwa napata wivu siku ambayo siko naye najua kuna kidume kinafanya makamuzi huko..She was real hot!! Kwa hiyo acha njemba zichapane makonde ndio ukweli wenyewe huo!!Apology accepted. Lakini kuna ubaya wowote wa kumtamani baameid. Hujakaona hako ninakozungumzia, acha walume watwangane bana. Kana mvuto balaa.