Mkuu, chakula kinapowekwa mezani, usifikiri uko peke yako mwenye njaa au ukiona sahani ya ugali imekwisha usifikiri mlaji ulikuwa ni wewe peke yako, pengine huenda ulikula robo tu ya chakula kwenye sahani kikaisha.
Ni vizuri ukajenga tabia ya kuombea chakula kwa sala kabla ya kula, tatizo lako litakwisha na utakuwa unakula chakula chote kwenye sahani peke yako.