Kuna watu wanaiba hadi mkaa kwenye jiko achilia mbali jivu lake.
Miaka ya nyuma nilifanya kazi sehemu kuna jamaa (mpishi) alikamatwa na nyama nusu kilo ameficha kwenye pumbu akawa anatembea kama ana busha.
Mwizi kila kitu kwake ni cha thamani anaiba hata pedi au pamoasi za jero.