Niuzie smartphone kwa 250000

nundaz

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
272
Reaction score
193
Heshima kwenu wadau wa jf. Jana nimedondosha simu yangu. Natafuta mdau anayeweza kuniuzia simu kwa bei hyo 250000. Isiwe tekno,huawei. Ila sony,sumsung,htc zitapewa kipaumbele.napatikana mwanza. Karibuni
 
Heshima kwenu wadau wa jf. Jana nimedondosha simu yangu. Natafuta mdau anayeweza kuniuzia simu kwa bei hyo 250000. Isiwe tekno,huawei. Ila sony,sumsung,htc zitapewa kipaumbele.napatikana mwanza. Karibuni
Nunda, mcheki Ubuntu ana cm unayotaka kwa bei unayotaka
 
Mimi ninayo Mpya samsung galaxy J1 ace Mpya kabisa nauza laki na 70,

Zingine nina samsung galaxy a7

0689 55 44 38

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…