Saidi saidi09
Member
- Oct 3, 2018
- 12
- 1
Tusaidiane
Lahaja ni nini?2saidiane
K..ni vilugha vidogovidogo vinavyopatikana ktk lugha ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia na lugha iyo moja huweza kutofautiana ktk matamsh..muundo wa saruf. Na misamiat piaLahaja ni nini?
Hujaelewa nn apo....Kajifunze kuandika kwanza mwalimu.
Tusaidiane...nami nimekusaidia.
Kama hawa ndio walimu wa watoto wetu, basi huko shuleni wanafundishwa ujinga!Kajifunze kuandika kwanza mwalimu.
Tusaidiane...nami nimekusaidia.