Pole. Kwanza nenda kwa eyes clinician akushauri uvae miwani mbayo ni transparent tu. Pili, zingatia kila macho yanapoanza kuwasha nawa maji mengi baridi safi na salama.
Jizuie sana kuyapikicha pale yanapowasha. Maana ukiyapikicha (blinking) yanapata michubuko ambapo yana attract enfections. Ukizingatia kunawa maji hata dawa hautatumia mkuu