Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Habari wa jf,
Kama mada ilivyo hapo juu mimi kila ikifika jioni macho yangu huwa yanawasha sana yani najikuna sana mpaka macho yanakuwa mekundu, naombe msaada wenu nimetumia sana dawa mpaka Hospitali nimefika wakaniambia huenda nina aleji na kitu furani kila dawa wanayonipa haifanyi kazi.
Msaada kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada ilivyo hapo juu mimi kila ikifika jioni macho yangu huwa yanawasha sana yani najikuna sana mpaka macho yanakuwa mekundu, naombe msaada wenu nimetumia sana dawa mpaka Hospitali nimefika wakaniambia huenda nina aleji na kitu furani kila dawa wanayonipa haifanyi kazi.
Msaada kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app