Nitoke nje ya ndoa?


Mh.....
 

Mhh.....!!
 
Mtoto anapomuoa mtoto mwenzie
na kukutana na majukumu huku akiwa hana Kazi, ww ulidhani
kitakachofuata nn?

Mbona jibu lipo wazi tu!!
Kinachofuata ni watoto kuzaa mtoto mwenzao.
 
Majaribu2013 acha kutujaribu basi, uongo hadi kwenye umri!.
Date of BirthJanuary 3, 1980 (33)
 
Last edited by a moderator:
kweli una busara mimi aninyime haki yangu halafu tena kipigo?
kweli pangechimbika halafu inaelekea una udhaifu flani hivi maana kama umefukuzwa kazi kwa ajili yake na unapigwa unanyamaza halafu unakuja kutuadithia hapa...binafsi nimepatwa na hasira sana wake up f.o.o.l!
Fukuza likakae kwao au huko linapopewa kiburi! yaani ni stress ya kufukuzwa kazi bado mwanamke asumbue kwani ndoa ni kitu gani? umekua kondoaa wewe mpaka unakufa hupigi kelele?
 

Ahahahaha aiseee

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
huyu atakuwa kampata kidume anamzuzua ndo wewe ukija anakuona kama choo,,,dawa yake husimvukuze tafuta binti mwelewa awe anakupunguzia mbegu ukiridi hme kimyaaaa unamchora tu.......badae mwenyewe atarudisha mahabat kwako....husiogope vidumu viliweka kubalance maisha ya ndoa kama hayo take it from me
 
We ukiona mtu hafati maelekezo yako ana tabia mbaya unamuacha umelazimishwa kwan umezaliwa nae bana, hukuumbwa ili mtu akupe mawazo muache apate adabu ajue na wa kuoa ni wachache siku hizi
 
mimeshindwa ona kosa kuu la mkeo au kinachosababisha huo mtafarakano, nahisi both of u are too yang dats it, kua mvumilivu as time goes atajua nini maana ya kua mke na mama wa familia ,we endelea na majukum yako as responsibo faza, usichoke
 
Paulo Alisema Ishi Na Mkeo Kwaakili, Kabla Hujamuoa Ungemchunguza Kwamda Mref Ucnge Pata Shida Yooooooote Hiyo Ungejua Nini Anataka Nann Hataki Ungetumia Akili Bilanguv Yoyote Ila Hujachelewa Tumia Ushaur Huu Mpotezee Km Una Mtoto Mfanye Kua Ndo Rafikiako Na Mfarj Mfikirie Sana Yeye Chezanae Na Umpende Sana Mwanao Atarejea Mwenyewe. Mke Wapil Nikuongeza Kidonda Cha Pili.
 
We ni third party katika hii story kama si utunzi ulioenda shule
 

Hapo hakuna mapenzi tena! kama muda huu anapigwa viwiko vya macho, wakifika 35 mdada atampiga frying pan ya kichwa, akijaribu kunyanyuka anamtia kisigino cha kwenye meno!! Cha msingi msela ajivue hiyo stress asake noti kivyakevyake kama ana mtoto/watoto waishi na wasome vizuri. vinginevyo huyo bibie ipo siku atamtoa roho!!!
 
Kisa cha kuoa mapema nn.?? Pole wee..uliingia akili ikiwa haijakomaa c bure...wenzio wanaoa wakiwa 30 akili zishakomaaa

uongo, nilioa nikiwa na 22 yrs; na bado niko naye na tunaenjoy life kama kawa. tuna watoto 2 tu hadi raha
 
riwaya yako inasimsimua ...wewe una miaka 20+ ,mwenzio alishaolewa huko nyuma na sasa mmechokana du ! Afu umeshapata na jibu tayari kuwa sasa unataka mama .
Kweli unajua kutunga hadithi za mmu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…