Nitoeni ushamba na jiko la gesi

Nitoeni ushamba na jiko la gesi

mohkova

Member
Joined
May 22, 2021
Posts
10
Reaction score
3
Wanajamvi nina jiko langu la gesi la mtungi mdgo linanitesa ,,

Nilikuwa napika likagoma kufunga gesi inatoka mfululizo ukizungusha kufunga inazunguka tu bila kuzima nikaamua niitoe burner kabsa ,nikajarbu burner nyingne kuweka tu gesi ikaanza kutoka kwa kasii ukipunguza wala kuizima haikubali

Shida nini wadau nitoeni ushamba
 
Usirudishie tena hiyo burner sababu tarari valve yake haifungi/imekufa.
Nakushauri kesho peleka burner kwa gass dealer akurekebishie ama nunua burner nyingine.
Huo sio ushamba bw mkubwa, hapo shukuru Mungu umeokoa maisha yako, mali ama na maisha ya watu wengine
 
Usirudishie tena hiyo burner sababu tarari valve yake haifungi/imekufa.
Nakushauri kesho peleka burner kwa gass dealer akurekebishie ama nunua burner nyingine.
Huo sio ushamba bw mkubwa, hapo shukuru Mungu umeokoa maisha yako, mali ama na maisha ya watu wengine
Kumbe hapo shda n burner mbovu sio ? Niljua nakosea kufunga
 
Jaribu kutoa burner, then chukua kijiko au chochote ubonyeze ile round (gorori). Gesi itatoka kidogo na itasaidia kupush uchafu au mchanga. Weka tena burner

Maana mchanga au uchafu ukiwepo panakua loose kwaio gesi inaweza kupitia hapo.
 
Wanajamvi nina jiko langu la gesi la mtungi mdgo linanitesa ,,

Nilikua napika likagoma kufunga gesi inatoka mfululizo ukzungusha kufunga inazunguka tu bila kuzima nkaamua niitoe burner kabsa ,nkajarbu burner nyingne kuweka tu gesi ikaanza kutoka kwa kas ukipunguza wala kuizma haikubal shda nn wadau nitoeni ushamba
Hivyo vi burner vya buku tano ni tatizo ,Rudi dukani ama wakupe cha bei ya juu ama wakufundishe namna ya kuvidhibiti
 
Jaribu kutoa burner, then chukua kijiko au chochote ubonyeze ile round (gorori). Gesi itatoka kidogo na itasaidia kupush uchafu au mchanga. Weka tena burner

Maana mchanga au uchafu ukiwepo panakua loose kwaio gesi inaweza kupitia hapo.
Nikitoa burner gas haitoki kwa iyo siamin kama tatzo n mchanga kaka ingekua mchanga ingekua inatoka ata kam nkitoa burner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom