Je ni king'amuzi gani naweza kutumia kuangalizia Tv kupitia laptop. Namaanisha laptop kuitumia kama Tv kwa kutumia hicho king'amuzi.
Nenda kwenye maduka ya vifaa vya computer waambie unahitaji usb tunner card yenye AV in watakupa bei ni kuanzia sh 45000 kwenda juuSasa hiyo usb Tv tuner inauzwaje?hapa bongo na naipata maeneo gani?
Hapa na mimi nasubiria jibu maana nilijaribu kutumia cable ya VGA to HDMI haikuonesha chochoteJe naweza kutumia monitor ya computer kama TV?
umeona eeeeh!hawa jamaa siwaelewi ujue...unawezaje kununua laptop uitumie kama TV ushindwe kununua TV ya kikwelikweli!Ila nafikiri hata TV flat siku hizi bei rahisi around 280,000/= unapata TV yako tena ya ku mount kwenye ukuta
umeona eeeeh!hawa jamaa siwaelewi ujue...unawezaje kununua laptop uitumie kama TV ushindwe kununua TV ya kikwelikweli!
# Kingamuzi chochote kile waweza kukitumia katika laptop yako.
# Sharti uwe USB TV tuner
# Mfano wake angali hii picha![]()
Hiki kifaa huja na CD ya driver na software yakeMkuu nikishanunua hicho kifaa, procedures za ku-configure zipoje?
Me natumia Pc yangu kama Tv pia mwaka wa 7 sasa.
Nenda mzizima computers kariakoo karibu na police ama duka lolote la electronics na uulizie Tv Tuner au Tv Card. Zipo za USB ambazo unachomeka waya ya USB kwenye port, na ambazo siza USB ambazo hufungwa ndani ya Motherboard ya Pc kama ilivyo RAM. Hii huenda ukahitaji fundi. Kwa urahisi unaweza kuchukua ya usb.
Box lake lina Cd ya software, Card yenyewe, Remote na remote cable. Unainstall Software na Drivers, then ndio unachomeka hiyo kitu kwa USB na unaunganisha king'amuzi chako then utabonyeza kitufe search. utapata channel. unaweza pia kurekodi vitu hata kama haupo na kuicommand isave na hata kujizima itakapo maliza. huwezi miss habari au mpira. utaangalia muda unaoutaka. hope iko poa