Si yameshaisha jaman tunahamia kwenye namba sa hviwe Bonny nakuona ujue
Ha ha ha ha nin hyo aiseeHahahaha usiniombe ile nanihii
Umesahau siku ile ulivonitukana ktk Ile thread yangu,nkakukaushia,Ila nshakusamehe,namuachia munguArabian Queen naomba namba zako nitakucheki kuna issue ya muhimu nataka nikuambie
Ha ha hahaSawa ila sio kwa kulazimisha huko
Umesusa bas sawa muachie Arabian queen aje aleHata sitaki tena
Mm sitaki kihivyo. Nataka uwe na msimamo na mm tu no matter yupo ama hayupo
Ha ha ha ha nauliza utatoa utoiNshamkatazaaa askupee kwanzaaa
Naomba utuongezee hata ka wiki tutembetembe humu jf sio unavyotuaga kwa gafla hivi maana hadi kimeo changu hiki kilizima nilivyoona huu uzi.ukaniagie na mzeewakungoa pia
Mwisho was siku namuachia jje's na beby wake,Mana mm ninawangu atiHii vita ngumu ila tutashinda ngoja tuone mwisho wake
Ni kweli usemayo,Shukran sana unakaribishwa,lastly ntaeka jina then najitoa jfMtu anayeaga huwa anatia huzuni sana kwa aliowaaga, Cha ziada kinaweza kupatikana pia. Binafsi instagram nilitoka mwaka wa pili huu. Nita install kwa ajili yako.
Hahaha mm nshapitisha huruma tayariSasa y anakuombea hivyo wkt huruma ishakuingia
Wacha ale tu sina hofu naye kwa kuwa najua kesho jioni anasepa.Umesusa bas sawa muachie Arabian queen aje ale
ThnxKila LA heri, karibu tena,
Hahaha alafu weweeeeHahaha
Sakayo added you
HahahahaWala usimpe huyo muache. Na akija kwangu wala simpi nimeshaghairi.
Mbn haya mapenzi hata kutoka jf kichwa chaumaNtakuadd kila siku ujue...
Sakayo added you