Nitatambuaje samsung galaxy yangu kama feki?

Nitatambuaje samsung galaxy yangu kama feki?

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
View attachment 183121 siku hizi kumekuwa na ongezeko la bidhaa feki kila siku , bidhaa hizi maarufu kama bidhaa za kichina zimekuwa kero kwa watu wengi,leo ningeingia kwenye simu za mkononi aina ya samsung galaxy nitaitambuaje kama feki au orginal 1: ni thamani yake ,pichani ni aina ya simu iyo orginal thamani ni kati ya tsh400000 na 600000 ambapo kama feki thamani yake ni tsh 150000 na tsh200000 ila kikubwa ni kupatikana kwa picha ya mbwa amelala pindi ukibonyeza *#0*# ok. Na kama feki iyo picha ya mbwa aitotokea,kuwa makini mkuu
 
AHSANTE MKUBWA KWA KUTUJULISHA MAANA SIMU ZA KICHINA ZIMEKUWA KERO TUNANUNU HATA TATU KWA MWAKANI. ILA NAOMBA PIA UTUJULISHE SISI WA itel Tutazijuaje kama ni halisi au mchina?
 
Hayo yote mchina kaweka. Tumia galaxy check app kuhakiki
 
Fanya hivi, piga *#06# utapata namba 15 ya IME hizi namba ni muhimu sana kwani zinabeba taarifa zote za simu yako kama model manufacturer,assambled sasa ukishazipata ziandike mahali. Kisha fungua internet fungua page hio www.imei.info kunasehemu utaingiza hizo namba kisha bonyeza check utapata majibu kama feck au orignal
 
Back
Top Bottom