Nitasimama na Rais Magufuli

Nitasimama na Rais Magufuli

Duuu nchi kama nani ,yaani tunafanya campaign hivi hivi na COVID-19 ikiwepo.Ili tuone Mbowe kama na wao wanafanya campaign. Haaaa ila Mungu mkubwa ,hapangiwe anapanga
 
KUMPINGA RAIS JPM NI KUWAKUMBUSHA WATANZANIA MATESO WALIYOPITIA, VITA DHIDI YA UTAWALA WA MAGUFULI NI VITA DHIDI YA MATUMAINI MAPYA YA WATANZANIA.

1. Mtanzania yupi yupo tayari kurejea Tanzania ya watu wachache maalum ambao ni daraja la juu kabisa la mwanadamu ambao Sheria haziwahusu kuua sawa, kuiba sawa, kupiga sawa, kubaka ruksa. Tanzania ambayo Sheria kali zipo kushughulikia wanyonge na masikini wasio na fedha za kuhonga ni mtanzania yupi anaitaka irejee ?

2. Mtanzania yupi anatamani kurudi Tanzania ya walalamishi kuanzia viongozi mpaka wananch yaani Tanzania ya kulalamikia matatizo badala ya kuyatatua yaani waziri wa maji kulalamika hakuna maji, waziri wa Ardhi kulalamika kuhusu migogoro ya Ardhi, Wakurugenzi, MaDC, MaRC na viongozi kulalamika kuhusu changamoto zao ktk maeneo yao ya utawala , nauliza yupo wapi mtanzania anayetamani kuungana na viongozi kulalamikia uhaba wa madawati na madarasa huku rasimali zikituzomea kwa kushindwa kuzitumia nauliza yupo ?

3. Mtanzania wa wapi yupo tayari kurejea Tanzania ambayo cheo ni utajiri ? Tanzania ambayo ukiwa kiongozi mwaka mmoja unakuwa tajiri kuliko kipato chako, Tanzania ambayo ukipata cheo umepata uhalali wa kutumia vyovyote rasimali za taifa kupata utajiri wenye damu za watanzania ? Yupo wapi mtanzania ambaye analilia Tanzania ya pata cheo utajirike ?

4. Mtanzania wa aina gani ambaye analilia Tanzania ambayo mtu akiwa kiongozi ukoo wake wote na marafiki wanatumikiwa yaani Tanzania ambayo mke wa RC, watoto, marafiki na wapambe wake wanakuwa MaRC ? Yupi yupo tayari kurejea enzi za rafiki wa RC kunywa bia bure na kuondoka bila kulipa ukidai unapigwa makofi na kubandikwa kodi za kukufilishi kama yupo mtanzania anayetamani kurejea huko ajitokeze ! Mtanzania ambaye kutoka moyoni mwake anatamani kurudi kule yupo?

5. Yupo wapi mtanzania ambaye amekumbuka enzi zile ukisikia CCM umesikia ufisadi, Rushwa, madawa ya kulevya, ubabe, uonevu, uhuni na Unyanyasaji yupo kweli ambaye analilia kurudi CHAMA CHA MAPINDUZI kuitwa CHAMA CHA MAJAMBAZI yupo? Hata ambaye siyo MwanaCCM anayetamani kurudi huko yupo wapi ? Kwamba ukisikia CCM ni matajiri fulani hivi wezi na wakatili kweli kweli wenye mamlaka ya kufanya lolote yupo wapi anayetamani huko turejee? Mtanzania ambaye CCM ni kundi fulani hivi la waonevu wanaopokezana mamlaka kwa historia ya wazazi na uwezo wa fedha yupo? Nauliza ndugu zangu nani anataka huko tena?

6. Kuna mtanzania sampuli gani ambaye analilia Tanzania ambaye taarifa ya habari ni kusimuliwa ujambazi wa mchana kweupe, madarasa kuungukia watoto kwa uchakavu, tajiri mmoja kumpiga mfanyakazi hadharani na anataka hizo habari tena thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kichwani atamani kurudi kwenye habari za maumivu ya watanzania kuliko habari za barabara mpya kuzinduliwa, miradi ya maji, meli, yaani Kwamba kuna mtanzania amechoshwa na habari za miradi mikubwa ambayo haikutarajiwa ? Kwamba yupo mtanzania hapendezwi na habari za watu wa chini kabisa kufikisha mawazo yao na mateso ya kwa kiongozi mkubwa kabisa wa nchi bila kuzuiliwa ? Yupo mtanzania ambaye analilia Tanzania ya kufungia ndani watanzania walioporwa mali zao ili wasimfikie kiongozi kumueleza ? Kuna mtanzania anayetamani watu waendelee kupewa kesi za uongo na kufia jela nauliza yupo mtanzania wa hivyo ?

7. Bado kuna mtanzania anayetamani maisha yale ambayo watu kutoka mataifa fulani wanakuja kuua watanzania wakipigania rasimali zao yaani Tanzania ambayo madini ,gesi na utajiri asilia ukigundulika sehemu ni mateso kwa wenyeji ? Kuna mtanzania anayetamani ujinga huo tena yaani madini wabebe na kipigo juu, gesi wachukue na manyanyaso juu yaani Tanzania ya Wanyama kupanda ndege ? Yaani Tanzania ambayo rasimali zinageuka laana mbaya badala ya neema ? Kwamba ndugu zangu wakurya na wajita wamekumbuka kufa kwa sumu kisa madini tena wakiwa masikini katikati ya madini ? Kwamba Mtwara wanatamani kile kipigo cha gesi ? Kuna mtanzania amemiss ujangili wa waziwazi mchana kweupe ?

8. Mtanzania mjinga kiasi gani ambaye analilia na kutamani Tanzania ya haramu kuwa halali yaani Tanzania ambayo bangi inauzwa kama sigara ? Tanzania ambayo meno ya tembo yanauzwa kiholela kama vyuma chakavu ? Tanzania ambayo gongo inauzwa kwa vibali vya Askari nani anataka huo upumbavu tena? Tanzania ambayo Askari akikamata mvunja Sheria anapokea simu hebu muache mara moja huyo ! Bado watanzania wanatamani huo utahira thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kabisa atamani uzezeta wa haramu kuwa halali ?

9. Mtanzania toleo gani hasa ambaye anadhani tumekosea kuondoka kwenye kiongozi kuwa mungu ? Kwamba anadhani ni kosa kubwa kuleta nidhamu kwa viongozi waishi kama watanzania wengine ? Kwamba yupo mtanzania mjinga anatamani magari ya serikali yakeshe bar, Kwamba anatamani tuendelee kuwaona viongozi ni watu fulani wa kuogopa hata Wakifanya makosa wasisemwe ? Tanzania ya kuabudu viongozi kuliko hata Mungu yupi anaitaka ? Mtanzania mjinga mjinga hivi wakulilia kuabudu viongozi ni yupi Kwamba amechoshwa na utamaduni wa kiongozi kuwa mtumishi wa umma kuliko kuwa Mungu mtu mbele ya umma !

10. Mtanzania ambaye maombi yake ni kurejea Tanzania ambayo ofisi za umma ni mali ya watu binafsi kiasi cha kupata huduma kutokana na matakwa ya walio ofisini ? Mtanzania yupi anaitaka irejee ya kumsubiri afisa wa serikali masaa matatu aongee na simu binafsi wananch wakisubiri huduma kwenye benchi na njaa kali ? Kuna mtanzania tahira kiasi cha kutamani ofisi za umma za kuhudumia wadada wazuri na wenye fedha tu mmmh yupo kweli ambaye analilia Tanzania ya kusubiri afisa wa serikali amalize kutongoza ofisini ndiyo atoe huduma kwa wengine walio kwenye foleni? Kwamba mtanzania timamu atake ujinga ile wa kuandaa bahasha kupata huduma halali yake ?

WATANZANIA HATUJASAHAU MAUMIVU SEMA TUMESAMEHE

Watanzania kwa utamaduni wetu na malezi yetu mema hasa ya baba wa taifa Mwl Julius Nyerere na waasisi wa taifa letu hatuna kinyongo wala mioyo ya visasi kwa pamoja tulisema tuache yaliyopita lakini haina maana tunasahau yale madudu.

Kumpinga Rais MAGUFULI ni kuwatonesha watanzania ambao wanaanza kusahu na kusonga mbele.

Watanzania timamu wanatambua vita dhidi ya utawala wa Rais MAGUFULI ni Vita dhidi ya utawala wa kutokomeza mazoea na umwinyi wa kuishi na kudumu ktk vyeo hata baada ya kustaafu.

Watanzania wanajua hapingwi Rais JPM badala yake unapingwa mfumo mpya wa Haki , Usawa sambamba kujikita kwa wananch kuliko genge fulani.

Kitendo cha Rais JPM kuamini ktk wananch kuliko genge fulani lenye kudhani linaweza kuendeleza uovu kisa lilikuwa ktk mkakati wa ushindi wa chama cha mapinduzi CCM ni vita ngumu ya kuiondoa serikali mikononi mwa watu fulani kwenda kwa wananch.

Mimi LAMU ELIZAYO nitasimama na Rais JPM siyo kwa sura yake, kabila lake wala kimo chake nitasimama na Rais JPM kwasababu anapambana vita takatifu ya kuua na kutokomeza utawala wa kihuni.

Mimi LAMU nipo tayari kupambana pamoja na Rais JPM na watanzania wengine wote wenye kuitamani Tanzania aliyokusudia baba wa taifa Mwl Nyerere.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tokomeza wanafiki na wavurugaji wa taifa letu.

Ndimi LAMU ELIZAYO PASCAL KILIMBA
lamuelizayo@gmail.com
+255766033331
+255620770382
Wahi sasa kachukua 35,000 pale Lumumba.
 
Acha umburula wewee wenzako huwa wanapost kwa majina yao ya kweli ili teuzi zisiwapite, nafasi sirikalini bado nyingi tuuu, endelea kumsifia tuu ipo siku na wewe ‘utaonekana’
 
Pamoja na kuwemo ukweli ndani yake ila sifa zimezidi points hivyo kuonekana nia yako ni nini. Tumekuelewa maana duniani hakuna kiongozi mzuri kama Magufuli na wala hapajawahi kutokea na haitatokea. Asante kwa mtazamo wako ila uwe na staha basi kwa kuheshimu pia mitazamo ya wengine wanaopingana nawe usiwaite majina hayo ya kuwadhalilisha maana ni binadamu kama wewe na ni ndugu pia, kwa kufanya hivyo umeondoa hata ile maana nzuri tu uliyotaka kuionesha kwenye uzi wako. Kiongozi mzuri wa watu ni yule anaetambua kuwa anaongoza watu na watu anaowaongoza pia wanamitazamo tofauti tofauti lakini hao wote ni wake hivyo hapaswi kuwapuuza bali kwenda nao na hicho ndio kipimo cha uongozi bora; yaani ni mvumilivu na mnyenyekevu kwa kila mmoja anaemuongoza. Hebu jipe muda kidogo kutafakari je hayo yote yapo pamoja na uliyoyasema hapo juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUMPINGA RAIS JPM NI KUWAKUMBUSHA WATANZANIA MATESO WALIYOPITIA, VITA DHIDI YA UTAWALA WA MAGUFULI NI VITA DHIDI YA MATUMAINI MAPYA YA WATANZANIA.

1. Mtanzania yupi yupo tayari kurejea Tanzania ya watu wachache maalum ambao ni daraja la juu kabisa la mwanadamu ambao Sheria haziwahusu kuua sawa, kuiba sawa, kupiga sawa, kubaka ruksa. Tanzania ambayo Sheria kali zipo kushughulikia wanyonge na masikini wasio na fedha za kuhonga ni mtanzania yupi anaitaka irejee ?

2. Mtanzania yupi anatamani kurudi Tanzania ya walalamishi kuanzia viongozi mpaka wananch yaani Tanzania ya kulalamikia matatizo badala ya kuyatatua yaani waziri wa maji kulalamika hakuna maji, waziri wa Ardhi kulalamika kuhusu migogoro ya Ardhi, Wakurugenzi, MaDC, MaRC na viongozi kulalamika kuhusu changamoto zao ktk maeneo yao ya utawala , nauliza yupo wapi mtanzania anayetamani kuungana na viongozi kulalamikia uhaba wa madawati na madarasa huku rasimali zikituzomea kwa kushindwa kuzitumia nauliza yupo ?

3. Mtanzania wa wapi yupo tayari kurejea Tanzania ambayo cheo ni utajiri ? Tanzania ambayo ukiwa kiongozi mwaka mmoja unakuwa tajiri kuliko kipato chako, Tanzania ambayo ukipata cheo umepata uhalali wa kutumia vyovyote rasimali za taifa kupata utajiri wenye damu za watanzania ? Yupo wapi mtanzania ambaye analilia Tanzania ya pata cheo utajirike ?

4. Mtanzania wa aina gani ambaye analilia Tanzania ambayo mtu akiwa kiongozi ukoo wake wote na marafiki wanatumikiwa yaani Tanzania ambayo mke wa RC, watoto, marafiki na wapambe wake wanakuwa MaRC ? Yupi yupo tayari kurejea enzi za rafiki wa RC kunywa bia bure na kuondoka bila kulipa ukidai unapigwa makofi na kubandikwa kodi za kukufilishi kama yupo mtanzania anayetamani kurejea huko ajitokeze ! Mtanzania ambaye kutoka moyoni mwake anatamani kurudi kule yupo?

5. Yupo wapi mtanzania ambaye amekumbuka enzi zile ukisikia CCM umesikia ufisadi, Rushwa, madawa ya kulevya, ubabe, uonevu, uhuni na Unyanyasaji yupo kweli ambaye analilia kurudi CHAMA CHA MAPINDUZI kuitwa CHAMA CHA MAJAMBAZI yupo? Hata ambaye siyo MwanaCCM anayetamani kurudi huko yupo wapi ? Kwamba ukisikia CCM ni matajiri fulani hivi wezi na wakatili kweli kweli wenye mamlaka ya kufanya lolote yupo wapi anayetamani huko turejee? Mtanzania ambaye CCM ni kundi fulani hivi la waonevu wanaopokezana mamlaka kwa historia ya wazazi na uwezo wa fedha yupo? Nauliza ndugu zangu nani anataka huko tena?

6. Kuna mtanzania sampuli gani ambaye analilia Tanzania ambaye taarifa ya habari ni kusimuliwa ujambazi wa mchana kweupe, madarasa kuungukia watoto kwa uchakavu, tajiri mmoja kumpiga mfanyakazi hadharani na anataka hizo habari tena thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kichwani atamani kurudi kwenye habari za maumivu ya watanzania kuliko habari za barabara mpya kuzinduliwa, miradi ya maji, meli, yaani Kwamba kuna mtanzania amechoshwa na habari za miradi mikubwa ambayo haikutarajiwa ? Kwamba yupo mtanzania hapendezwi na habari za watu wa chini kabisa kufikisha mawazo yao na mateso ya kwa kiongozi mkubwa kabisa wa nchi bila kuzuiliwa ? Yupo mtanzania ambaye analilia Tanzania ya kufungia ndani watanzania walioporwa mali zao ili wasimfikie kiongozi kumueleza ? Kuna mtanzania anayetamani watu waendelee kupewa kesi za uongo na kufia jela nauliza yupo mtanzania wa hivyo ?

7. Bado kuna mtanzania anayetamani maisha yale ambayo watu kutoka mataifa fulani wanakuja kuua watanzania wakipigania rasimali zao yaani Tanzania ambayo madini ,gesi na utajiri asilia ukigundulika sehemu ni mateso kwa wenyeji ? Kuna mtanzania anayetamani ujinga huo tena yaani madini wabebe na kipigo juu, gesi wachukue na manyanyaso juu yaani Tanzania ya Wanyama kupanda ndege ? Yaani Tanzania ambayo rasimali zinageuka laana mbaya badala ya neema ? Kwamba ndugu zangu wakurya na wajita wamekumbuka kufa kwa sumu kisa madini tena wakiwa masikini katikati ya madini ? Kwamba Mtwara wanatamani kile kipigo cha gesi ? Kuna mtanzania amemiss ujangili wa waziwazi mchana kweupe ?

8. Mtanzania mjinga kiasi gani ambaye analilia na kutamani Tanzania ya haramu kuwa halali yaani Tanzania ambayo bangi inauzwa kama sigara ? Tanzania ambayo meno ya tembo yanauzwa kiholela kama vyuma chakavu ? Tanzania ambayo gongo inauzwa kwa vibali vya Askari nani anataka huo upumbavu tena? Tanzania ambayo Askari akikamata mvunja Sheria anapokea simu hebu muache mara moja huyo ! Bado watanzania wanatamani huo utahira thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kabisa atamani uzezeta wa haramu kuwa halali ?

9. Mtanzania toleo gani hasa ambaye anadhani tumekosea kuondoka kwenye kiongozi kuwa mungu ? Kwamba anadhani ni kosa kubwa kuleta nidhamu kwa viongozi waishi kama watanzania wengine ? Kwamba yupo mtanzania mjinga anatamani magari ya serikali yakeshe bar, Kwamba anatamani tuendelee kuwaona viongozi ni watu fulani wa kuogopa hata Wakifanya makosa wasisemwe ? Tanzania ya kuabudu viongozi kuliko hata Mungu yupi anaitaka ? Mtanzania mjinga mjinga hivi wakulilia kuabudu viongozi ni yupi Kwamba amechoshwa na utamaduni wa kiongozi kuwa mtumishi wa umma kuliko kuwa Mungu mtu mbele ya umma !

10. Mtanzania ambaye maombi yake ni kurejea Tanzania ambayo ofisi za umma ni mali ya watu binafsi kiasi cha kupata huduma kutokana na matakwa ya walio ofisini ? Mtanzania yupi anaitaka irejee ya kumsubiri afisa wa serikali masaa matatu aongee na simu binafsi wananch wakisubiri huduma kwenye benchi na njaa kali ? Kuna mtanzania tahira kiasi cha kutamani ofisi za umma za kuhudumia wadada wazuri na wenye fedha tu mmmh yupo kweli ambaye analilia Tanzania ya kusubiri afisa wa serikali amalize kutongoza ofisini ndiyo atoe huduma kwa wengine walio kwenye foleni? Kwamba mtanzania timamu atake ujinga ile wa kuandaa bahasha kupata huduma halali yake ?

WATANZANIA HATUJASAHAU MAUMIVU SEMA TUMESAMEHE

Watanzania kwa utamaduni wetu na malezi yetu mema hasa ya baba wa taifa Mwl Julius Nyerere na waasisi wa taifa letu hatuna kinyongo wala mioyo ya visasi kwa pamoja tulisema tuache yaliyopita lakini haina maana tunasahau yale madudu.

Kumpinga Rais MAGUFULI ni kuwatonesha watanzania ambao wanaanza kusahu na kusonga mbele.

Watanzania timamu wanatambua vita dhidi ya utawala wa Rais MAGUFULI ni Vita dhidi ya utawala wa kutokomeza mazoea na umwinyi wa kuishi na kudumu ktk vyeo hata baada ya kustaafu.

Watanzania wanajua hapingwi Rais JPM badala yake unapingwa mfumo mpya wa Haki , Usawa sambamba kujikita kwa wananch kuliko genge fulani.

Kitendo cha Rais JPM kuamini ktk wananch kuliko genge fulani lenye kudhani linaweza kuendeleza uovu kisa lilikuwa ktk mkakati wa ushindi wa chama cha mapinduzi CCM ni vita ngumu ya kuiondoa serikali mikononi mwa watu fulani kwenda kwa wananch.

Mimi LAMU ELIZAYO nitasimama na Rais JPM siyo kwa sura yake, kabila lake wala kimo chake nitasimama na Rais JPM kwasababu anapambana vita takatifu ya kuua na kutokomeza utawala wa kihuni.

Mimi LAMU nipo tayari kupambana pamoja na Rais JPM na watanzania wengine wote wenye kuitamani Tanzania aliyokusudia baba wa taifa Mwl Nyerere.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tokomeza wanafiki na wavurugaji wa taifa letu.

Ndimi LAMU ELIZAYO PASCAL KILIMBA
lamuelizayo@gmail.com
+255766033331
+255620770382
Hujui kabisa unachoandika hapa: Tunaye mtu mkabila kuliko mwingine aliyewahi kutokea. Hivi umewahifanya analysis ukaangalia idadi ya mawaziri na manaibu wao wangapi ni wa kabila lake? Umewahi kujua wakuu wa mikoa na wilaya wangapi wanatoka kabila lake pekee? Hivyi unajua chuki aliyonayo kwa baadhi ya makabila nchini? Hivi unajua ni fedha kiasi gani ambazo hazikuwawahi kuidhinishwa na bunge lakini zinafanya miradi kwao huko?

Hivi unafahamu watu wangapi wameuawa, au kupotezwa hadi leo hawaonekani au kuteshwa vibaya mno, rejea akina Lissu, Saanane, nk?

Unajua amejenga mtandao wa kikabila around him unawajua wote wanaomzunguka wanatoka wapi? Hivi unajua kiburi cha bashite kinatoka wapi na bashite anafanya mambo gani kwa nchi hii? Hivi unajua jinsi watu wanavyokosewa haki kwa kufukuzwa bila mchakato na hata baadhi yao kurudishwa pia bila mchakato, unafikiri akili na weledi vinatumia hapo? rejea akina Mwigulu.

Kuna nini cha ajabu kimefanywa miaka 5 iliyopita kuhusu kilimo ambacho ndio sekta inayoajiri 80% ya watz? Hivi unajua makosa yaliyofanyika ATCL na wapi tunaelekea na nani atabeba huo mzigo wa hasara ya fedha za maskini? Wewe umewahi kujua kama ATCL wanapata faida au hasara na umewahi kuambiwa hata siku moja faida au hasara ni kiasi gani?

Hivi unajua mtandao wa watu wake unavyogharimiwa kwa mabilioni ya fedha za maskini? Umewahi kuona ni msafara mkubwa kiasi gani wa watu na magari wanapokuwa wanakwenda chattle?

Labda kama unatumikia ili ufaidike na jiwe bila kujali mamilioni wanaoteseka na uongozi mbovu kabisa.

Tuna kiongozi asiyependa kusikiliza hii inajulikana dunia nzima. Demokrasia yetu imekwenda wapi? Uhuru wa vyombo vya habari tuliokuwa nao upo wapi? Unazungumza usiyoyajua na ni kawaida kwa watz kuwa hivyo ndio maana tunashangawa na kila mtu duniani!

Unaona vile corona inavyofichwa. Unajua ni watu wangapi wameugua na kufa? Kwanini watu wanazikwa usiku? Kwanini visa vyo corona kwa Tz haviripotiwi kila siku kama wanavyofanya Uganda, Kenya, etc? Wewe unaona sawa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chattle? Hata Dodoma bado hatuna uwanja wa kimataifa! Bado hujui yapo mengi mno.
 
KUMPINGA RAIS JPM NI KUWAKUMBUSHA WATANZANIA MATESO WALIYOPITIA, VITA DHIDI YA UTAWALA WA MAGUFULI NI VITA DHIDI YA MATUMAINI MAPYA YA WATANZANIA.

1. Mtanzania yupi yupo tayari kurejea Tanzania ya watu wachache maalum ambao ni daraja la juu kabisa la mwanadamu ambao Sheria haziwahusu kuua sawa, kuiba sawa, kupiga sawa, kubaka ruksa. Tanzania ambayo Sheria kali zipo kushughulikia wanyonge na masikini wasio na fedha za kuhonga ni mtanzania yupi anaitaka irejee ?

2. Mtanzania yupi anatamani kurudi Tanzania ya walalamishi kuanzia viongozi mpaka wananch yaani Tanzania ya kulalamikia matatizo badala ya kuyatatua yaani waziri wa maji kulalamika hakuna maji, waziri wa Ardhi kulalamika kuhusu migogoro ya Ardhi, Wakurugenzi, MaDC, MaRC na viongozi kulalamika kuhusu changamoto zao ktk maeneo yao ya utawala , nauliza yupo wapi mtanzania anayetamani kuungana na viongozi kulalamikia uhaba wa madawati na madarasa huku rasimali zikituzomea kwa kushindwa kuzitumia nauliza yupo ?

3. Mtanzania wa wapi yupo tayari kurejea Tanzania ambayo cheo ni utajiri ? Tanzania ambayo ukiwa kiongozi mwaka mmoja unakuwa tajiri kuliko kipato chako, Tanzania ambayo ukipata cheo umepata uhalali wa kutumia vyovyote rasimali za taifa kupata utajiri wenye damu za watanzania ? Yupo wapi mtanzania ambaye analilia Tanzania ya pata cheo utajirike ?

4. Mtanzania wa aina gani ambaye analilia Tanzania ambayo mtu akiwa kiongozi ukoo wake wote na marafiki wanatumikiwa yaani Tanzania ambayo mke wa RC, watoto, marafiki na wapambe wake wanakuwa MaRC ? Yupi yupo tayari kurejea enzi za rafiki wa RC kunywa bia bure na kuondoka bila kulipa ukidai unapigwa makofi na kubandikwa kodi za kukufilishi kama yupo mtanzania anayetamani kurejea huko ajitokeze ! Mtanzania ambaye kutoka moyoni mwake anatamani kurudi kule yupo?

5. Yupo wapi mtanzania ambaye amekumbuka enzi zile ukisikia CCM umesikia ufisadi, Rushwa, madawa ya kulevya, ubabe, uonevu, uhuni na Unyanyasaji yupo kweli ambaye analilia kurudi CHAMA CHA MAPINDUZI kuitwa CHAMA CHA MAJAMBAZI yupo? Hata ambaye siyo MwanaCCM anayetamani kurudi huko yupo wapi ? Kwamba ukisikia CCM ni matajiri fulani hivi wezi na wakatili kweli kweli wenye mamlaka ya kufanya lolote yupo wapi anayetamani huko turejee? Mtanzania ambaye CCM ni kundi fulani hivi la waonevu wanaopokezana mamlaka kwa historia ya wazazi na uwezo wa fedha yupo? Nauliza ndugu zangu nani anataka huko tena?

6. Kuna mtanzania sampuli gani ambaye analilia Tanzania ambaye taarifa ya habari ni kusimuliwa ujambazi wa mchana kweupe, madarasa kuungukia watoto kwa uchakavu, tajiri mmoja kumpiga mfanyakazi hadharani na anataka hizo habari tena thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kichwani atamani kurudi kwenye habari za maumivu ya watanzania kuliko habari za barabara mpya kuzinduliwa, miradi ya maji, meli, yaani Kwamba kuna mtanzania amechoshwa na habari za miradi mikubwa ambayo haikutarajiwa ? Kwamba yupo mtanzania hapendezwi na habari za watu wa chini kabisa kufikisha mawazo yao na mateso ya kwa kiongozi mkubwa kabisa wa nchi bila kuzuiliwa ? Yupo mtanzania ambaye analilia Tanzania ya kufungia ndani watanzania walioporwa mali zao ili wasimfikie kiongozi kumueleza ? Kuna mtanzania anayetamani watu waendelee kupewa kesi za uongo na kufia jela nauliza yupo mtanzania wa hivyo ?

7. Bado kuna mtanzania anayetamani maisha yale ambayo watu kutoka mataifa fulani wanakuja kuua watanzania wakipigania rasimali zao yaani Tanzania ambayo madini ,gesi na utajiri asilia ukigundulika sehemu ni mateso kwa wenyeji ? Kuna mtanzania anayetamani ujinga huo tena yaani madini wabebe na kipigo juu, gesi wachukue na manyanyaso juu yaani Tanzania ya Wanyama kupanda ndege ? Yaani Tanzania ambayo rasimali zinageuka laana mbaya badala ya neema ? Kwamba ndugu zangu wakurya na wajita wamekumbuka kufa kwa sumu kisa madini tena wakiwa masikini katikati ya madini ? Kwamba Mtwara wanatamani kile kipigo cha gesi ? Kuna mtanzania amemiss ujangili wa waziwazi mchana kweupe ?

8. Mtanzania mjinga kiasi gani ambaye analilia na kutamani Tanzania ya haramu kuwa halali yaani Tanzania ambayo bangi inauzwa kama sigara ? Tanzania ambayo meno ya tembo yanauzwa kiholela kama vyuma chakavu ? Tanzania ambayo gongo inauzwa kwa vibali vya Askari nani anataka huo upumbavu tena? Tanzania ambayo Askari akikamata mvunja Sheria anapokea simu hebu muache mara moja huyo ! Bado watanzania wanatamani huo utahira thubutu ! Kwamba mtanzania timamu kabisa atamani uzezeta wa haramu kuwa halali ?

9. Mtanzania toleo gani hasa ambaye anadhani tumekosea kuondoka kwenye kiongozi kuwa mungu ? Kwamba anadhani ni kosa kubwa kuleta nidhamu kwa viongozi waishi kama watanzania wengine ? Kwamba yupo mtanzania mjinga anatamani magari ya serikali yakeshe bar, Kwamba anatamani tuendelee kuwaona viongozi ni watu fulani wa kuogopa hata Wakifanya makosa wasisemwe ? Tanzania ya kuabudu viongozi kuliko hata Mungu yupi anaitaka ? Mtanzania mjinga mjinga hivi wakulilia kuabudu viongozi ni yupi Kwamba amechoshwa na utamaduni wa kiongozi kuwa mtumishi wa umma kuliko kuwa Mungu mtu mbele ya umma !

10. Mtanzania ambaye maombi yake ni kurejea Tanzania ambayo ofisi za umma ni mali ya watu binafsi kiasi cha kupata huduma kutokana na matakwa ya walio ofisini ? Mtanzania yupi anaitaka irejee ya kumsubiri afisa wa serikali masaa matatu aongee na simu binafsi wananch wakisubiri huduma kwenye benchi na njaa kali ? Kuna mtanzania tahira kiasi cha kutamani ofisi za umma za kuhudumia wadada wazuri na wenye fedha tu mmmh yupo kweli ambaye analilia Tanzania ya kusubiri afisa wa serikali amalize kutongoza ofisini ndiyo atoe huduma kwa wengine walio kwenye foleni? Kwamba mtanzania timamu atake ujinga ile wa kuandaa bahasha kupata huduma halali yake ?

WATANZANIA HATUJASAHAU MAUMIVU SEMA TUMESAMEHE

Watanzania kwa utamaduni wetu na malezi yetu mema hasa ya baba wa taifa Mwl Julius Nyerere na waasisi wa taifa letu hatuna kinyongo wala mioyo ya visasi kwa pamoja tulisema tuache yaliyopita lakini haina maana tunasahau yale madudu.

Kumpinga Rais MAGUFULI ni kuwatonesha watanzania ambao wanaanza kusahu na kusonga mbele.

Watanzania timamu wanatambua vita dhidi ya utawala wa Rais MAGUFULI ni Vita dhidi ya utawala wa kutokomeza mazoea na umwinyi wa kuishi na kudumu ktk vyeo hata baada ya kustaafu.

Watanzania wanajua hapingwi Rais JPM badala yake unapingwa mfumo mpya wa Haki , Usawa sambamba kujikita kwa wananch kuliko genge fulani.

Kitendo cha Rais JPM kuamini ktk wananch kuliko genge fulani lenye kudhani linaweza kuendeleza uovu kisa lilikuwa ktk mkakati wa ushindi wa chama cha mapinduzi CCM ni vita ngumu ya kuiondoa serikali mikononi mwa watu fulani kwenda kwa wananch.

Mimi LAMU ELIZAYO nitasimama na Rais JPM siyo kwa sura yake, kabila lake wala kimo chake nitasimama na Rais JPM kwasababu anapambana vita takatifu ya kuua na kutokomeza utawala wa kihuni.

Mimi LAMU nipo tayari kupambana pamoja na Rais JPM na watanzania wengine wote wenye kuitamani Tanzania aliyokusudia baba wa taifa Mwl Nyerere.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tokomeza wanafiki na wavurugaji wa taifa letu.

Ndimi LAMU ELIZAYO PASCAL KILIMBA
lamuelizayo@gmail.com
+255766033331
+255620770382
You Neal It!
 
Back
Top Bottom