Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 632
- 1,397
Mkuu mimi ndiyo najua
Wakuu.
Wakati wa mwanzo wa ujana wangu..nilifundishwa kitu kibaya,rafiki yangu mmoja aliyekuwa amenizidi umri alinipa ushauri ambao umeniharibia 'future' yangu kama mwanaume.
Wakati huo nikiwa natoka primary kwenda secondary, ni kipindi ambacho hisia za 'ngono' zilianza kushika kasi.Rafiki yangu ni mtu aliyekuwa busy na mademu...wakati huo sikupenda kujihusisha na mahusiano....lakini mazungumzo yalizungumzwa na marafiki mara zote yalihusu ngono....kipindi hicho ndipo ambapo video za porno zilishika kasi...wale waliojaliwa simu za 'memori' walijaza video hizo,baada ya skuli ni kujichimbia ghetto kuzitazama.
Hapo ndipo tatizo lilopoanzia,Kujichua!
Rafiki akanionesha kila aina ya upigaji puli.Kuanzia kutumia sabuni hadi mafuta.Tabia hii ilianza kuniathiri mimi kuliko yeye na wengine.Ilifikia kipindi sikuweza kulala bila kujichua,muda mwingine hadi mara tano kwa siku.
Kibaya zaidi,wakati fulani hakukuwa na sabuni wala mafuta,yaan ni uume na mkono wangu,kitandani tulilala wawili,mimi na mdogo wangu,kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja...dogo akilala tu!..zoezi linaanza,mkono na uume,kuna kipindi uume ulivimba...hivyo nikaapa kuacha.Lakini hazikupita siku nyingi nikarejea kulekule.
Nikiwa bafuni siwezi kutoka bila kujichua,usiku haukuchi bila kujichua,tens mara bila kilainishi.Wakati huo niliweza kwenda hata bao mbili bila uume kulala,baada kidogo mabadiliko yakaanza,bao la kwanza lilikuja baada ya sekunde kadhaa,uume unasinyaa,naendelea na mambo yangu...sijui ujinga gani...hali hii niliifurahia kwa kuwa niliridhika mapema na hivyo kuepusha uwezekano wa 'kufumaniwa' au kukaa bafuni muda mrefu.
Siku zikayoyoma,uume kusimama ni kwa mbinde,naangalia porno(kwenye simu yangu) ndiyo angalau 'kauume' kasimame,wakati wote huo wasichana wa nini kwa mfano,wakati raha najipa mwenyewe,baada ya kumaliza olevel,akili ndio inakuja...tayari nina tatizo...uume umesinyaa sana...sijui kwanini sikugundua mapema...kusimama ni kwa shida,tena ukisimama ni kwa muda mrefu unajikunyata tena....kuna kipindi niliogopa kutafuta 'demu',wa nini?nitamfanya na hali hii?
Nilisafiri nje ya nyumbani,huko ndiko nilipopata sehemu ya kufanya majaribio...hawanijui....nikawa nafika mshindo kwa sekunde kadhaa and the case closed.
Uume hausimami,nausimamisha kwa kukaza sana misuli ya tumbo,nikiiachia uume unalegea....
Kuna wakati nilipata msichana nikiwa safarini,nilishangaa uume ulisimama sana japo ukubwa umepungua sana...cha ajabu...ndani ya uke sikuhisi chochote cha tofauti...ni kama hisia hamna kabisa...uume umezoea mkono....nilitumia zaidi dakika kumi sikuhisi hata dalili ya kufika kileleni.Nilimuacha ndani(guest house) huyo binti na kuondoka zangu.
Sasa nina miaka 23,nimepata binti niliyetokea kumpenda sana,and she loves me the same....tuna miezi kumi tangu tuanze mahusiano.No Sex!
Nalijua tatizo langu....naogopa kuaibika.
Natamani sana siku za usoni nimuoe,nitamuoa!..ila itakuwaje???
Uume ninao...umepungua...ila kupungua sio tatizo kwangu...unasimama ila si kwa muda mrefu....
Sina wa kumlaumu...
Ila tatizo hili nitalitatuaje??
Mimi nimepiga pull sekondari hadi chuo, na hadi sasa nastua mara mojamoja japo nimeoa,ila still kwenye show nasimamia kucha. Jiamini tu mdogowangu,tafuta wataalamu saikolojia utarudi kwenye ubora wako
X power hakuna kitu.Ni utapeli mtupu.The Dark,
Tumia kirutubisho kiitwacho X POWER MAN CAPSULES au nicheki PM.
Watu wengi wanahangaika na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume ila mimi nitaongelea katika suala la kujichua tu (punyeto). Kumbuka mimi siyo daktari wala siuzi dawa. Hii ni elimu tunapeana kama wanaumeWakuu.
Wakati wa mwanzo wa ujana wangu nilifundishwa kitu kibaya, rafiki yangu mmoja aliyekuwa amenizidi umri alinipa ushauri ambao umeniharibia 'future' yangu kama mwanaume.
Wakati huo nikiwa natoka primary kwenda secondary, ni kipindi ambacho hisia za 'ngono' zilianza kushika kasi. Rafiki yangu ni mtu aliyekuwa busy na mademu. Wakati huo sikupenda kujihusisha na mahusiano, lakini mazungumzo yalizungumzwa na marafiki mara zote yalihusu ngono..
Kipindi hicho ndipo ambapo video za porno zilishika kasi, wale waliojaliwa simu za 'memori' walijaza video hizo. Baada ya skuli ni kujichimbia ghetto kuzitazama.
Hapo ndipo tatizo lilopoanzia, Kujichua!
Rafiki akanionesha kila aina ya upigaji puli. Kuanzia kutumia sabuni hadi mafuta. Tabia hii ilianza kuniathiri mimi kuliko yeye na wengine. Ilifikia kipindi sikuweza kulala bila kujichua, muda mwingine hadi mara tano kwa siku.
Kibaya zaidi, wakati fulani hakukuwa na sabuni wala mafuta,yaani ni uume na mkono wangu, kitandani tulilala wawili, mimi na mdogo wangu, kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja dogo akilala tu zoezi linaanza, mkono na uume, kuna kipindi uume ulivimba hivyo nikaapa kuacha. Lakini hazikupita siku nyingi nikarejea kule kule.
Nikiwa bafuni siwezi kutoka bila kujichua, usiku haukuchi bila kujichua, tenamara bila kilainishi. Wakati huo niliweza kwenda hata bao mbili bila uume kulala, baada kidogo mabadiliko yakaanza, bao la kwanza lilikuja baada ya sekunde kadhaa uume unasinyaa naendelea na mambo yangu. Sijui ujinga gani.
Hali hii niliifurahia kwa kuwa niliridhika mapema na hivyo kuepusha uwezekano wa 'kufumaniwa' au kukaa bafuni muda mrefu.
Siku zikayoyoma, uume kusimama ni kwa mbinde, naangalia porno(kwenye simu yangu) ndiyo angalau 'kauume' kasimame, wakati wote huo wasichana wa nini kwa mfano, wakati raha najipa mwenyewe.
Baada ya kumaliza O-level, akili ndio inakuja, tayari nina tatizo. Uume umesinyaa sana. Sijui kwanini sikugundua mapema.
Kusimama ni kwa shida, tena ukisimama ni kwa muda mrefu unajikunyata tena. Kuna kipindi niliogopa kutafuta 'demu', wa nini?Nitamfanya na hali hii?
Nilisafiri nje ya nyumbani, huko ndiko nilipopata sehemu ya kufanya majaribio. Hawanijui, nikawa nafika mshindo kwa sekunde kadhaa and the case closed.
Uume hausimami, nausimamisha kwa kukaza sana misuli ya tumbo, nikiiachia uume unalegea.
Kuna wakati nilipata msichana nikiwa safarini, nilishangaa uume ulisimama sana japo ukubwa umepungua sana. Cha ajabu ndani ya uke sikuhisi chochote cha tofauti. Ni kama hisia hamna kabisa, uume umezoea mkono.
Nilitumia zaidi dakika kumi sikuhisi hata dalili ya kufika kileleni. Nilimuacha ndani (guest house) huyo binti na kuondoka zangu.
Sasa nina miaka 23, nimepata binti niliyetokea kumpenda sana,and she loves me the same. Tuna miezi kumi tangu tuanze mahusiano. No Sex!
Nalijua tatizo langu, naogopa kuaibika.
Natamani sana siku za usoni nimuoe, nitamuoa! ila itakuwaje?
Uume ninao, umepungua ila kupungua sio tatizo kwangu. Unasimama ila si kwa muda mrefu.
Sina wa kumlaumu.
Ila tatizo hili nitalitatuaje?
Ushauri uliotolewa na wadau
---
---
---
---
---