Nitapata wapi waya wa HDMI?

hizo waya zimejaa kibao kwenye maduka ya vifaa vya umeme na TV ziko nyingi mno na hata ofisi za DSTV zozote wanazo wala usipande gari hapo gapo kitaani kwako ukiuliza maduka mawili matatu unazipata
 
Nyingi ni feki usitegemee utapata original kirahisi quality ya picha haitakua nzuri
Nenda maduka ya Posta otherwise utapigwa.Zinauzwa hadi 35,000=
 

Huu waya ninaweza upata wapi kwa hapa dar!?
Nenda pale Jmall mtaa wa samora kuna duka. Freedom communication au nenda kkoo mtaa wa muheza na magila kuna duka la vifaa vya electronics au kkoo mt.uhuru na kongo pale kuna street vender wanauza vifaa vya. Electronics
 
Mm ninao nilinunua pamoja na laptop ya apple km unauhitaji nipo dar nichek 0689095488
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…