Nitapata wapi ng'ombe wazuri wa maziwa?

Nitapata wapi ng'ombe wazuri wa maziwa?

Mkuu nimesikitika sana maana nilihamasika kutafuta hawa Ng'ombe,bado safari ni ndefu.
Safar n ndefu sana sana uwez amini nilipita banda La MAGEREZA wanamwambia MASAI aandike barua kwa kamishna Wa magereza Tanzania mtu ajui kusoma wala kuandika na ela anayo Cash.
 
Safar n ndefu sana sana uwez amini nilipita banda La MAGEREZA wanamwambia MASAI aandike barua kwa kamishna Wa magereza Tanzania mtu ajui kusoma wala kuandika na ela anayo Cash.
Lakini tusikate tamaa tutafika tu mkuu
 
Ka
Lakini tusikate tamaa tutafika tu mkuu
Tatizo taasisi nying zinakosa ubunifu kama kuwashauri wangeweka mpango angalau kusimamia uuzaji Wa mitamba at least Mara mbili au tatu kwa mwaka wangeweza kuiingizia serikali kipato kikubwa pia kubadilish maisha ya wafugaji wadgo kama sisi
 
Nilikuwa natafuta ng'ombe wa maziwa pia. Nikabahatika kutembelea kwenye mabanda ya mifugo nane nane Dodoma mwaka huu. Ng'ombe wazuri wanapatikana kwenye vyuo vya mifugo nchi nzima. Waliniambia nikitaka ng'ombe wa maziwa wanakuuzia ng'ombe mwenye mimba ya miezi nane kwa bei ya TSH 1,800,000. Ng'ombe wao wana uwezo wa kutoa litre 24 kwa siku za maziwa.
Ulitembelea banda la chuo gani mkuu
 
Nilikuwa natafuta ng'ombe wa maziwa pia. Nikabahatika kutembelea kwenye mabanda ya mifugo nane nane Dodoma mwaka huu. Ng'ombe wazuri wanapatikana kwenye vyuo vya mifugo nchi nzima. Waliniambia nikitaka ng'ombe wa maziwa wanakuuzia ng'ombe mwenye mimba ya miezi nane kwa bei ya TSH 1,800,000. Ng'ombe wao wana uwezo wa kutoa litre 24 kwa siku za maziwa.
Vyuo vya mifugo vinapatikana mikoa ipi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ka

Tatizo taasisi nying zinakosa ubunifu kama kuwashauri wangeweka mpango angalau kusimamia uuzaji Wa mitamba at least Mara mbili au tatu kwa mwaka wangeweza kuiingizia serikali kipato kikubwa pia kubadilish maisha ya wafugaji wadgo kama sisi
Kabisa mkuu huwa nashindwa kuelewa tatizo liko wapi,labda ubinafsi unatusumbua.
 
20 lts inawezekana mkuu. Mzee wangu alishakuwa na ng'ombe wa hivyo ila alikufa miaka 3 iliyopita.
QUOTE="Root, post: 27952142, member: 67690"]20 lts kwa siku utadanganywa[/QUOTE]
 
Mie naamini ngombe ukimtunza vizuri anatoa maziwà mengi tuu
 
Ukifuatilia ng'ombe hawa wa serikali utafeli mkuu… mimi mwenyewe nimebabaishwa saaana miaka ikaenda mpaka pesa yenyewe ikapangiwa matumizi mengine na ndoto zangu zikafifia…. Usitegemee huko,…. Ukipata hata kwa watu binafsi wenye bei zaidi nunua kuliko kusubiri aisee… unaweza ukachagua mtamba kabla hajabebeshwa halafu ukaambiwa usubiri mpaka abebeshwe, ukimsubir anakuja mwenzio anaongeza cha juu anamchukua nawe unapewa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Dar Zoo wana ng'ombe wanawauza , unaweza enda fuatilia huko maana kama upo Dar hali ya hewa haitokuwa challenge tofauti na umpate ng'ombe wa kitulo.
Pia kuna watu pale ubungo maziwa kuna kipindi walikuwa wanauza hao ng'ombe jaribu kutafuta thread humu ya miaka mitatu na zaidi nyuma ilizungumzia..
Pia arusha maeneo ya tengeru au kwa mzee mmoja maarufu mzee urio anao ng'ombe.
Wacheki pia jkt ruvu, kibaha pia.
Serikalini tatizo mlolongo ni mrefu ingawa last month baada ya kuwatembelea shamba lao la mabuki mwanza walisema wameboresha huduma.
Otherwise check my pm kwa maelekezo na mawasiliano zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Dar Zoo wana ng'ombe wanawauza , unaweza enda fuatilia huko maana kama upo Dar hali ya hewa haitokuwa challenge tofauti na umpate ng'ombe wa kitulo.
Pia kuna watu pale ubungo maziwa kuna kipindi walikuwa wanauza hao ng'ombe jaribu kutafuta thread humu ya miaka mitatu na zaidi nyuma ilizungumzia..
Pia arusha maeneo ya tengeru au kwa mzee mmoja maarufu mzee urio anao ng'ombe.
Wacheki pia jkt ruvu, kibaha pia.
Serikalini tatizo mlolongo ni mrefu ingawa last month baada ya kuwatembelea shamba lao la mabuki mwanza walisema wameboresha huduma.
Otherwise check my pm kwa maelekezo na mawasiliano zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unamfahamu hadi Urio!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kwetu litre 1 inauzwa buku 1, kwa litre hizo kwa siku unakunja elfu 24 kibindoni toa elfu 4 kama gharama za uendeshaji kama vile kumlipa kijana, unabakiwa na 20,000×30=600,000/=bado ndama akikua unamuuza, kumbe Umasikini tunautaka sisi wenyewe.
Ndugu yangu uchumi wa kalamu bila uhalisia
umewadanganya wengi na mwisho wameishia kujuta.
Utamu wa ngoma ni kuingia uwanjani ucheze.
imi binafsi naamini mkulima na mfugaji kama
hakupata kiwanda cha kuchukua mazao yake
kwa ujumla wake uwezekano wa kuharibu mtaji wake ni mkubwa sana.
 
Nasikia Dar Zoo wana ng'ombe wanawauza , unaweza enda fuatilia huko maana kama upo Dar hali ya hewa haitokuwa challenge tofauti na umpate ng'ombe wa kitulo.
Pia kuna watu pale ubungo maziwa kuna kipindi walikuwa wanauza hao ng'ombe jaribu kutafuta thread humu ya miaka mitatu na zaidi nyuma ilizungumzia..
Pia arusha maeneo ya tengeru au kwa mzee mmoja maarufu mzee urio anao ng'ombe.
Wacheki pia jkt ruvu, kibaha pia.
Serikalini tatizo mlolongo ni mrefu ingawa last month baada ya kuwatembelea shamba lao la mabuki mwanza walisema wameboresha huduma.
Otherwise check my pm kwa maelekezo na mawasiliano zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante sana nitaku pm mkuu
 
Hello wadau wa JamiiForums

Nina shida na ng'ombe wazuri wa maziwa wenye uwezo wa kutoa lita 20 za maziwa kwa siku kwa ng'ombe mmoja. Naomba msaada wa kujuzwa nitapata wapi. Pia nina uhitaji wa zile mashine za kukamulia ng'ombe.

Napatikana Kibaha kwa Mathias.
Fanya mpango upate wale wa mafinga chuoni ni wazuri sana
 
njoo Iringa, kuna Wazungu kutoka nchi za Zimbabwe na South , ila bei yao iko Juu. bidhaa kama pipi za Ivory maziwa yake yanatoka kwa hao wazungu, mmoja wao anaitwa Philips- ila kama nilvyosema hapo juu, bei zao ni kubwa
Bei gani
 
Back
Top Bottom