Nitamtetea Rais wangu, Magufuli

Nitamtetea Rais wangu, Magufuli

Kwa maana ana makosa utetezi ni given.

Lakini tayari ana hatia utetezi wako kazi bure.
 
Napatikana Tabora mtaa wa kanyenye njoo kwangu nitakurisha kwa fedha zangu nitakununulia nguo kwa fedha zangu
Watu tuko vizuri ndo maana tunamkubali Rais wetu mlizoea upigaji sasa mmekatiwa mirija mnalia lia apa mnatia huruma tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtumie na nauli kabisaaaa aje huko kwako kufuata chakula na mavazi hahaha
 
38072155_106861696916500_8622751548050505728_n.jpg.jpeg
 
Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli


Sent using Jamii Forums mobile app
Tetea kula trilion 1.5 tetea 10% kwenye miladi yote mikubwa ikiwemo ununuzi wa ndege ujenzi wa reli, Chato Airport nk
 
Ukitembea ovyo utapata mimba isiyotarajiwa. Halafu yule ni mme wa mtu na anajiheshimu. Tafuta boya mwenzio wa kutembea naye
 
Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli


Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumuhukumu samaki kwa kushindwa kupanda mti na tunajifunza kutokana na makosa hivyo suala la korosho ufumbuzi wake utapatikana as soon as possible

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mara ya kwanza 2020 Magufili atapita kwa kishindo kwa sababu kwa maendeleo anayo yafanya sasa hana mpinzani

Maana ya utawala bora ni ile hali ya makubaliano waliyokubaliana kati ya wananchi na viongozi wao kwa jinsi gani watafata sheria zilizotungwa

kwa iyo sisi wananchi ambao kwa wingi wetu tunamkubali Rais wetu tumeukubali utawala huu nyie wachache msitake kutuvurugu kama mmeshindwa tafuteni nchi zingine za kwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikisoma utetezi wako kwa huyo jamaa yako. Sioni sababu za msingi , kwamba amekosea sana na anahitaji kutetewa ?!

Kikubwa tunataka kuongozwa ki democracy si kama kuswaga ng'ombe. Unapoongoza wanaadamu (wananchi) ujue wana akili na utashi pia. Si sawa na ng'ombe.

Umezungumzia upigaji, hao bavicha na ufipa wanahusika je na upigaji ?!. Si huyo ndiye amehusika na sasa anajifanya malaika ?!. Mikataba mibovu yote ni huko huko Lumumba na si upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli


Sent using Jamii Forums mobile app
Uteuzi umeisha ndugu!
Wakati tunapigwa kupitia ESCROW,bomba LA gesi,mikataba mibovu ya madini,huyu mzalendo wenu,alitoa mchango gani?zaidi ya kusema ndiooooo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli. We kiboko unatembea na magufuli weee wacha wee

get well soon tl
 
Kwa mara ya kwanza 2020 Magufili atapita kwa kishindo kwa sababu kwa maendeleo anayo yafanya sasa hana mpinzani

Maana ya utawala bora ni ile hali ya makubaliano waliyokubaliana kati ya wananchi na viongozi wao kwa jinsi gani watafata sheria zilizotungwa

kwa iyo sisi wananchi ambao kwa wingi wetu tunamkubali Rais wetu tumeukubali utawala huu nyie wachache msitake kutuvurugu kama mmeshindwa tafuteni nchi zingine za kwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kishindo cha mabomu na risasi? Utawala bora ni ule unaofuata sheria well said lakini nikuulize swali dogo tu, Hakuna sheria inayoruhusu mikutano ya siasa na maandamano kufanyika? Hii ya kusema kila mtu afanyie kwenye jimbo lake wananchi tulikubaliana lini na viongozi wetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom