bichwa mtoto
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 274
- 563
Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
