Nitampigia kura Lowassa!

Nitampigia kura Lowassa!

totoo brst

Member
Joined
Jun 3, 2014
Posts
85
Reaction score
22
NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!!

Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa ana hatia, hao wanaohubiri kashfa hizi ndio waliotakiwa kumfikisha mahakamani.

Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini

-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida

-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.

-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.

-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida

-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini

-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.

-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.

-Chini ya CCM viwanda vimekufa

-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.

-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.

-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!

-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.

-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo

-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.

-Chini ya CCM maisha yamekuwa magumu zaidi

-Chini ya CCM ni asilimia Chini ya 20 ya watanzania wanaumeme wa uhakika

-Chini ya CCM foleni kwenye majiji ni shiiiiiiiida

-Chini ya CCM kilimo hskina tija kabisa na umaskini umewatafuna watanzania wengi

-Chini ya CCM wafanyakazi wameendelea kua na mafao duni na maxingira duni Huku kodi ikiwa juu

-Chini ya CCM wafugaji na wakulima wameendelea kuchapana

-Chini ya CCM mikataba yote ya madini, Gas, Alma's na kadhalika imeendelea kua Siri

-Chini ya CCM rasimu ya Katiba ya wananchi ilinyofolewa

-Chini ya CCM deni la taifa limeendelea kupanda kwa kasi ya sjabu

-Chini ya CCM ajira kwa vijana imekuwa shiiiiiiiiiiiiida

Peleka ujumbe huu Twitter, Instagram, Facebook, JF, mwanahalisi forum.

-NIMEJIANDIKISHA
-Nimejipanga
-NITATUMIA KICHINJIO CHANGU VIZURI.
 
Lowassa ndio mpango mzima. Kamwe tusifanye makosa this time, tutajutia kwa miaka 50 ijayo..... Watu kama Lowassa utokea baada ya miaka 30~50
 
Ukimchagua Lowassa basi automatically tunaingia kwenye mtindo wa kugawa majukumu. Ndio vizuri.

Wenyeviti wa vyama Chadema na CUF wanakuwa sio marais.
Kwa CCM, anayechaguliwa kuwa rais ndiye anapewa na uenyekiti.

Rais wa Muungano Lowassa, Makamu Duni Haji, Mwenyekiti wa Chadema Mbowe.

Rais wa Zanzibar Maalim Seif, Mwenyekiti wa CUF wakili Twaha Taslima.
 
safi sana....tuwatoe hawa masultani na watoto wao wanaomiliki vituo vya mafuta mpaka vijijini na malori zaidi ya elfu moja
 
Hayo ni maamuzi ya kumpigia fisadi kura

lowasa alikuwa ni gwiji wa kampeni ccm,kaondoka ccm imepwaya,i wish aandike kitabu kuhusu kampeni kwa ajili ya vizazi vijavyo
 
Mwaka huu mabadiliko ni lazima,
Tumezoea kula Chakula cha aina moja,ngoja tubadilishe tuone radha itakuwaje
 
NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!!

Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa ana hatia, hao wanaohubiri kashfa hizi ndio waliotakiwa kumfikisha mahakamani.

Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini

-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida

-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.

-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.

-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida

-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini

-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.

-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.

-Chini ya CCM viwanda vimekufa

-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.

-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.

-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!

-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.

-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo

-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.

-Chini ya CCM maisha yamekuwa magumu zaidi

-Chini ya CCM ni asilimia Chini ya 20 ya watanzania wanaumeme wa uhakika

-Chini ya CCM foleni kwenye majiji ni shiiiiiiiida

-Chini ya CCM kilimo hskina tija kabisa na umaskini umewatafuna watanzania wengi

-Chini ya CCM wafanyakazi wameendelea kua na mafao duni na maxingira duni Huku kodi ikiwa juu

-Chini ya CCM wafugaji na wakulima wameendelea kuchapana

-Chini ya CCM mikataba yote ya madini, Gas, Alma's na kadhalika imeendelea kua Siri

-Chini ya CCM rasimu ya Katiba ya wananchi ilinyofolewa

-Chini ya CCM deni la taifa limeendelea kupanda kwa kasi ya sjabu

-Chini ya CCM ajira kwa vijana imekuwa shiiiiiiiiiiiiida

Peleka ujumbe huu Twitter, Instagram, Facebook, JF, mwanahalisi forum.

-NIMEJIANDIKISHA
-Nimejipanga
-NITATUMIA KICHINJIO CHANGU VIZURI.






Umchague huyo mgonjwa
Jizi la siku nyingi
Kwa yap mema ?

Kwa sera gan?

Sera za kumuachilia huru babu seya?

Sera za kujenga daraja kutoka dar to zanzibar

Hahahahahahhahahaha

Vipi kuhusu ufisad wake wa Richmond?

Mmeshamsafisha ufisad wake wa kuuza ranchi ya taifa na kusababisha wakulima na wafugaji wanauana hadi leo?

Kwa ufisad wake wa kuiba icc??

Kama tukiwa na watanzania mia tu wenye akili kama yako nadhan kutakuwa na haja ya kupigania uhuru upya
 
Back
Top Bottom