totoo brst
Member
- Jun 3, 2014
- 85
- 22
NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!!
Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa ana hatia, hao wanaohubiri kashfa hizi ndio waliotakiwa kumfikisha mahakamani.
Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini
-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida
-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.
-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.
-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida
-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini
-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.
-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.
-Chini ya CCM viwanda vimekufa
-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.
-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.
-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!
-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.
-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo
-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.
-Chini ya CCM maisha yamekuwa magumu zaidi
-Chini ya CCM ni asilimia Chini ya 20 ya watanzania wanaumeme wa uhakika
-Chini ya CCM foleni kwenye majiji ni shiiiiiiiida
-Chini ya CCM kilimo hskina tija kabisa na umaskini umewatafuna watanzania wengi
-Chini ya CCM wafanyakazi wameendelea kua na mafao duni na maxingira duni Huku kodi ikiwa juu
-Chini ya CCM wafugaji na wakulima wameendelea kuchapana
-Chini ya CCM mikataba yote ya madini, Gas, Alma's na kadhalika imeendelea kua Siri
-Chini ya CCM rasimu ya Katiba ya wananchi ilinyofolewa
-Chini ya CCM deni la taifa limeendelea kupanda kwa kasi ya sjabu
-Chini ya CCM ajira kwa vijana imekuwa shiiiiiiiiiiiiida
Peleka ujumbe huu Twitter, Instagram, Facebook, JF, mwanahalisi forum.
-NIMEJIANDIKISHA
-Nimejipanga
-NITATUMIA KICHINJIO CHANGU VIZURI.
Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa ana hatia, hao wanaohubiri kashfa hizi ndio waliotakiwa kumfikisha mahakamani.
Nimeamua kwa Moyo mweupe, Akili Timamu, Bila kushawishiwa na kwa uthabiti kumpigia Lowassa kura kwasababu zifuatazo; - Hatia yake ingethibitishwa na Mahakama pekee.
-Wanaomtuhumu leo (CCM) na serikali walitakiwa kumfikisha mahakamani.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini
-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida
-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.
-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.
-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida
-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini
-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.
-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.
-Chini ya CCM viwanda vimekufa
-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.
-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.
-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!
-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.
-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo
-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.
-Chini ya CCM maisha yamekuwa magumu zaidi
-Chini ya CCM ni asilimia Chini ya 20 ya watanzania wanaumeme wa uhakika
-Chini ya CCM foleni kwenye majiji ni shiiiiiiiida
-Chini ya CCM kilimo hskina tija kabisa na umaskini umewatafuna watanzania wengi
-Chini ya CCM wafanyakazi wameendelea kua na mafao duni na maxingira duni Huku kodi ikiwa juu
-Chini ya CCM wafugaji na wakulima wameendelea kuchapana
-Chini ya CCM mikataba yote ya madini, Gas, Alma's na kadhalika imeendelea kua Siri
-Chini ya CCM rasimu ya Katiba ya wananchi ilinyofolewa
-Chini ya CCM deni la taifa limeendelea kupanda kwa kasi ya sjabu
-Chini ya CCM ajira kwa vijana imekuwa shiiiiiiiiiiiiida
Peleka ujumbe huu Twitter, Instagram, Facebook, JF, mwanahalisi forum.
-NIMEJIANDIKISHA
-Nimejipanga
-NITATUMIA KICHINJIO CHANGU VIZURI.