Kufahamu kama ana tego, hususani ile tego ya kunasana ni rahisi sana. Unachotakiwa kufanya ili kufahamu kama ana tego au hapana, inabidi uingize dushe halafu ulitoe fasta fasta.
Kama ana tego, utanasa hapo hapo, lakini kama hana, utaona kitu kinaibuka kama kawa!
Hatari sana mkuu inatisha na inataka moyo[SUB]Naomba nikiri kuwa hizi njia nilipewa na mtu anayejua kutengeneza hayo matego huko Mtwara zamani sana na sijawahi kuzijaribu popote! Hivyo kila kitu hapa ni at ur own risk![/SUB]
[SUB]1. Jani la mdimu (mti unaotoa ndimu), chuma jani lililo bichi kabisa then mkifika eneo la tukio liweke kwenye uke wake. Likinyauka ghafla kimbia mbio ndefu hapo hapafai![/SUB]
[SUB]1. Weka panga chini halafu aliruke, likikatika hapo toka mbio ndefu hapafai. Lisipokatika huyo yupo vizuri kula bila hofu![/SUB]
😂😂, Asa Kama ameng'ang'ania kuzini, Basi afanye kugoogle tu. Wajinga ndio waliowao. Halafu jamaa Hana hata hofu ya mungu duh!Hahahaha,,, wauni sio watu
mwache aende akanase, mungu hutuepusha na majanga kupitia roho zetu bt hua tunachukulia poa ndo maana mara nyingi majuto hutuandama.Kumbe hata wewe umeona aise.
Mungu anamrukisha viunzi lakini mwamba haelewi kabisa.
Hakuna kosa kubwa kamakumlia mwanaume mke wake... Ita ku hunt whether you know it or not.Kuna mke wa mtu nilimpa lift mwaka jana mwezi wa saba. Takribani mwaka sasa, tukaachiana mawasiliano na badae kujikuta kuwa wenzi.
Kila nikipanga naye kukutana ili nimle Kwanza moyo unakuwa baridi sana, na akifosi sana lazima kikwazo kitokee hadi inashindikana. Kuna siku alijiandaa hadi eneo la tukio lakini simu zake nikizitazama tu bila kupokea. Na tukitofautiana baada ya muda tunarudisha mahusiano tena.
Sasa kesho tumepanga kukutana na kwakuwa anasafiri wiki ijayo, na atakaa muda mrefu kidogo huko, kasema ni lazima tuunganishe vitendea kazi vyetu, na mimi nimeshaandaa mazingira ila moyo haufurahii ingawa mm ni mtokaji kweli kweli. Yani kuchepuka nachepuka sana tu ila huyu binti, nadhani Mungu Kuna kitu ananiepusha.
Kama hana ngoma, basi ana tego. Siyo bure, kwa ishu ya HIV najipanga na ndom ila hili tego!! No!
Fumanizi sina hofu mana nimejipanga vema.
Nitagunduaje Kama mwanamke kategwa?
Mkuu utaweza masharti?Kuna mke wa mtu nilimpa lift mwaka jana mwezi wa saba. Takribani mwaka sasa, tukaachiana mawasiliano na badae kujikuta kuwa wenzi.
Kila nikipanga naye kukutana ili nimle Kwanza moyo unakuwa baridi sana, na akifosi sana lazima kikwazo kitokee hadi inashindikana. Kuna siku alijiandaa hadi eneo la tukio lakini simu zake nikizitazama tu bila kupokea. Na tukitofautiana baada ya muda tunarudisha mahusiano tena.
Sasa kesho tumepanga kukutana na kwakuwa anasafiri wiki ijayo, na atakaa muda mrefu kidogo huko, kasema ni lazima tuunganishe vitendea kazi vyetu, na mimi nimeshaandaa mazingira ila moyo haufurahii ingawa mm ni mtokaji kweli kweli. Yani kuchepuka nachepuka sana tu ila huyu binti, nadhani Mungu Kuna kitu ananiepusha.
Kama hana ngoma, basi ana tego. Siyo bure, kwa ishu ya HIV najipanga na ndom ila hili tego!! No!
Fumanizi sina hofu mana nimejipanga vema.
Nitagunduaje Kama mwanamke kategwa?
Muache bhana akajitafunie vizuri wewe mbona mzinifu na hamna anaekusemaHivi unaakili ww au ni mpumbavu? Yan mke wa mtu unamng'ang'ania had uhakikishe umezini nae alaf unaomba na udhauri kabisa we bora ufumaniwe ufe tu
Ila uyu jamaa wala hajazamilia kumla mke wa mtu kama angeitaji kumla kitambo tu angeshamlamwache aende akanase, mungu hutuepusha na majanga kupitia roho zetu bt hua tunachukulia poa ndo maana mara nyingi majuto hutuandama.
Mungu atutie nguvu kwakweli.mara nyingi Mungu uzungumza nasi lkni tumefungwa fikra.mwache aende akanase, mungu hutuepusha na majanga kupitia roho zetu bt hua tunachukulia poa ndo maana mara nyingi majuto hutuandama.
HahahahaKufahamu kama ana tego, hususani ile tego ya kunasana ni rahisi sana. Unachotakiwa kufanya ili kufahamu kama ana tego au hapana, inabidi uingize dushe halafu ulitoe fasta fasta.
Kama ana tego, utanasa hapo hapo, lakini kama hana, utaona kitu kinaibuka kama kawa!
Yah! Tena nadhani Mungu kanipa zigo la thawabu kwa kutoa ushauri bora kwa vijana wetu wanaosumbuliwa na mambo madogo madogo tu wakati kaka zao tupo!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mungu anakuona ujue lol!
Sio joke, am serious! We jaribu hiyo techjnique niliyokupa, na utakuja kunishukuru siku nyingine.Ni kweli hii? Au joke mkuu.
Sio joke, am serious! We jaribu hiyo techjnique niliyokupa, na utakuja kunishukuru siku nyingine.
Keshasema "kufumaniwa ni uzembe" kwahiyo mtu mzima Ramea hawezi kufumaniwa kwa sababu wanaofumaniwa ni wazembe na yeye sio mzembe!!Ogopa fumanizi lol