Nitamhakikishiaje kuwa tumeachana?

iMind

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
3,033
4,871
Wana Jamvi, pamoja na uzoefu wangu kwenye mambo ya mahusiano kuna mkasa umenikuta na nashindwa kuutatua.

Kisa kiko hivi...
Nilikuwa na kimchepuko changu kimoja, hiki kimchepuko nilikuwa napiga nacho trip za kikazi allover TZ. Mimi kazi zangu zina involve kisafiri na wife anakazi yake hawezi kusafiri. So mara nyingi nakuwa siko home. Badala ya kuokota okota wanawake kila mara nikaona nitafute mdada ambaye yuko flexible na safari ili nile naye route.

Basi maisha yakaendelea raha mustarehe takribani miezi 8 hivi. Siku moja simu ya mchepuko ikawa inazingua, nikaichukua kupeleka kwa fundi. Fundi nilikuwa nimemwachia password ili aweze ku test akisha tengeneza.

Sasa kumbe baada ya kutengeneza fundi akawa ameondoa password. Nikafika kawasha pale iko poa, akazima nikaweka kwenye bag kwenda nyumbani.

La haula sijui nini kilitokea wife akawa ameiona hii simu kwenye bag. Kumbuka si kawaida yake kabisa ku search kwenye bag langu la kazini. Nafikiri alikuwa anatafuta kalamu. Akaona meseji zangu na dada nyingi tu za kutosha.

Basi ikawa kesi pale, nika appologise kwa muda, akatishia kuondoka nika mshawishi nikamwambia bora mimi ndo niondoke kama hunitaki tena..basi baada ya muda kidogo akanisamehe na tukaendelea vizuri.

Tatizo ni kwamba wakati mwingine akikaa ana badilika na kuanza kulia, haamini kama yule mwanamke nimeachana naye. Haamini kama nimeachana naye ndo shida kubwa. Ukweli ni kwamba nimeachana naye. Je nitawezaje kumhakikishia kuwa nimeachana naye hadi aridhike. Hilo ndo tatizo langu kubwa na naomba mawazo yenu.
 
Alikuamini sana mkeo kwa bahati mbaya mbaya kabisa pasi kutarajia akajihakikishia mwenyewe kwa kithibitisho kuwa unachepuka jambo ambalo ni baya sana hasa kwa ustawi wa ndoa yenu. Ushauri wangu, usilazimishe nafsi ya mkeo kukusamehe hilo ni kosa, omba Mungu na uwe na subira, itafika wakati moyo wake utapoa atakusamehe (MSAMAHA HAULAZIMISHWI)
 
Wana Jamvi, pamoja na uzoefu wangu kwenye mambo ya mahusiano kuna mkasa umenikuta na nashindwa kuutatua.

Kisa kiko hivi...
Nilikuwa na kimchepuko changu kimoja, hiki kimchepuko nilikuwa napiga nacho trip za kikazi allover TZ. Mimi kazi zangu zina involve kisafiri na wife anakazi yake hawezi kusafiri. So mara nyingi nakuwa siko home. Badala ya kuokota okota wanawake kila mara nikaona nitafute mdada ambaye yuko flexible na safari ili nile naye route.

Basi maisha yakaendelea raha mustarehe takribani miezi 8 hivi. Siku moja simu ya mchepuko ikawa inazingua, nikaichukua kupeleka kwa fundi. Fundi nilikuwa nimemwachia password ili aweze ku test akisha tengeneza.

Sasa kumbe baada ya kutengeneza fundi akawa ameondoa password. Nikafika kawasha pale iko poa, akazima nikaweka kwenye bag kwenda nyumbani.

La haula sijui nini kilitokea wife akawa ameiona hii simu kwenye bag. Kumbuka si kawaida yake kabisa ku search kwenye bag langu la kazini. Nafikiri alikuwa anatafuta kalamu. Akaona meseji zangu na dada nyingi tu za kutosha.

Basi ikawa kesi pale, nika appologise kwa muda, akatishia kuondoka nika mshawishi nikamwambia bora mimi ndo niondoke kama hunitaki tena..basi baada ya muda kidogo akanisamehe na tukaendelea vizuri.

Tatizo ni kwamba wakati mwingine akikaa ana badilika na kuanza kulia, haamini kama yule mwanamke nimeachana naye. Haamini kama nimeachana naye ndo shida kubwa. Ukweli ni kwamba nimeachana naye. Je nitawezaje kumhakikishia kuwa nimeachana naye hadi aridhike. Hilo ndo tatizo langu kubwa na naomba mawazo yenu.
Ha ha ha ha shetani ana nguvu sana maaana anakupa ujasiri,anakupa mbinu na anakupa uhuru wa kumtokea huyo manzi,,baadae ukishampata unamfunuaaaaa then Mungu anamfunulia mkeo mambo hayo anayajua shetan anajitenga na ww anakucheka,,pole sana ila kwenye maelezo yako naona kama hujamwacha vile,,na ni kwel hamjaachana ila we umejitetea ili ndoa yako isife,na pale uliposema uondoke wewe ni kwamba ulikua unaenda kwa kamchepuko chako,,duuuh umelaaniwa kweli kwa tamaaa aisee ila Nakuombea pepo la michepuko likutokeeeeeee... Sema amina.

Nalewa kidogo nitarudi baadae kuendelea kukuchamba na kukushauri kidgo kam TL anavyotaka kumchamba Sizonje pale Magogoni.. Unatokaje nje ndoa mtoto wa kiume heeeeh aibu huoni...waita lete mbili kwanza niendelee
 
mkuu kwanza alikuamini sana hilo linampa shida sana kuwa wewe unaweza kuwa mwaminifu kwake .. kumshawishi ni ngumu sababu wanawake tunaendeshwa na hisia na huwa hatuna utaratibu wa kumaliza jambo at once inachukua muda... muhimu la kufanya ni wewe kukubali ulifanya kosa, jishushe nafasi yake mpe kama mke na mtu wako wa karibu,,, huwezi kumzuia asikumbuke wala kuhisi jambo ni muhimu wewe uwe upande wake anapohisi hata kukasirika kuwa down muombe msamaha na kama unaweza kumpotezea akianzisha fanya hivyo...

mkuu kuna mambo umefanya na mchepuko na uhakika kwa mke ulikuwa hufanyi na hata kukata some mambo kwa mke ukaelekezea kwa mchepuko yarudishe ila huwezi mfanya asikumbuke never ever .. sisi mood zetu zipo hivyo na kuunganisha mambo hata la mwaka 80 kuleta 2017 ..
NB: HII KASHFA ITAKUTAFUNA MPAKA KABURINI HUWA HATUNA HUO UTARATIBU WA KUMALIZA JAMBO UKIMTIBUA TU LAZIMA LIUNGANISHWE PIA .. KUBALIANA NA HII HALI BASI ISHI KWA AMANI
 
mkuu kwanza alikuamini sana hilo linampa shida sana kuwa wewe unaweza kuwa mwaminifu kwake .. kumshawishi ni ngumu sababu wanawake tunaendeshwa na hisia na huwa hatuna utaratibu wa kumaliza jambo at once inachukua muda... muhimu la kufanya ni wewe kukubali ulifanya kosa, jishushe nafasi yake mpe kama mke na mtu wako wa karibu,,, huwezi kumzuia asikumbuke wala kuhisi jambo ni muhimu wewe uwe upande wake anapohisi hata kukasirika kuwa down muombe msamaha na kama unaweza kumpotezea akianzisha fanya hivyo...

mkuu kuna mambo umefanya na mchepuko na uhakika kwa mke ulikuwa hufanyi na hata kukata some mambo kwa mke ukaelekezea kwa mchepuko yarudishe ila huwezi mfanya asikumbuke never ever .. sisi mood zetu zipo hivyo na kuunganisha mambo hata la mwaka 80 kuleta 2017 ..
NB: HII KASHFA ITAKUTAFUNA MPAKA KABURINI HUWA HATUNA HUO UTARATIBU WA KUMALIZA JAMBO UKIMTIBUA TU LAZIMA LIUNGANISHWE PIA .. KUBALIANA NA HII HALI BASI ISHI KWA AMANI
Hii ndio inaitwa kovo la sindano NDUI huwa alifutiki forever.. Huo mchepuko wako anajua kua umeshamwacha?
 
Hii ndio inaitwa kovo la sindano NDUI huwa alifutiki forever.. Huo mchepuko wako anajua kua umeshamwacha?
wanaume wangeweza kufanya madudu yao huko wake zao wasijue kabisa wangefaidi sana .. sababu kosa moja lina maana milioni mbili na kila ukikosea lile kosa la zamani linatafuta sehemu ya kuchomekwa lianze moja .. naonaga hata mama yangu utasikia baba yenu alifanya hivi ila ni la zamani hata sijazaliwa ila litasemwa na hata mi pia naunganisha matukio lazima lije hasa kama kakosa nachokulalamikia kadogo kulipa uzito navuta play back yangu moja naiweka pale naanza kulia
 
Hii hua haifutiki hata ufanye nini na hua unapunguza mapenzi kwa asilimia nyingi pia Hali hii huleta hamasa ya mwanamke kuwa na michepuko ili kulipiza kisasi hatakuamini tena Kwenye maisha yake jiandae kuachwa muda wowote kwa sababu ya hiyo kazi yako ya kusafiri at list ungekuwa wa hapohapo ingekuwa ni rahic kwako kuaminika tena
 
mkuu kwanza alikuamini sana hilo linampa shida sana kuwa wewe unaweza kuwa mwaminifu kwake .. kumshawishi ni ngumu sababu wanawake tunaendeshwa na hisia na huwa hatuna utaratibu wa kumaliza jambo at once inachukua muda... muhimu la kufanya ni wewe kukubali ulifanya kosa, jishushe nafasi yake mpe kama mke na mtu wako wa karibu,,, huwezi kumzuia asikumbuke wala kuhisi jambo ni muhimu wewe uwe upande wake anapohisi hata kukasirika kuwa down muombe msamaha na kama unaweza kumpotezea akianzisha fanya hivyo...

mkuu kuna mambo umefanya na mchepuko na uhakika kwa mke ulikuwa hufanyi na hata kukata some mambo kwa mke ukaelekezea kwa mchepuko yarudishe ila huwezi mfanya asikumbuke never ever .. sisi mood zetu zipo hivyo na kuunganisha mambo hata la mwaka 80 kuleta 2017 ..
NB: HII KASHFA ITAKUTAFUNA MPAKA KABURINI HUWA HATUNA HUO UTARATIBU WA KUMALIZA JAMBO UKIMTIBUA TU LAZIMA LIUNGANISHWE PIA .. KUBALIANA NA HII HALI BASI ISHI KWA AMANI
basi baby ishia hapo naona unataka kulia kabisa!
 
wanaume wangeweza kufanya madudu yao huko wake zao wasijue kabisa wangefaidi sana .. sababu kosa moja lina maana milioni mbili na kila ukikosea lile kosa la zamani linatafuta sehemu ya kuchomekwa lianze moja .. naonaga hata mama yangu utasikia baba yenu alifanya hivi ila ni la zamani hata sijazaliwa ila litasemwa na hata mi pia naunganisha matukio lazima lije hasa kama kakosa nachokulalamikia kadogo kulipa uzito navuta play back yangu moja naiweka pale naanza kulia
Du! Naona unaongea kwa hisia zote, Kwakweli wanaume tujitahidi kuepuka kuwaonyesha wanawake zetu usariti, hasa ndani ya ndoa kwani nitatizo kubwa sana katika jamii!
 
Uaminifu ni kama yai mkuu!!! Ukiuvunja ni ngumu kuurudisha. Hawezi kukuamini kamwe.
Kua mume mwema na baada ya mda ataanza kukuamini tena. Mpe mda usilazimishe akuamini
 
Ha ha ha ha shetani ana nguvu sana maaana anakupa ujasiri,anakupa mbinu na anakupa uhuru wa kumtokea huyo manzi,,baadae ukishampata unamfunuaaaaa then Mungu anamfunulia mkeo mambo hayo anayajua shetan anajitenga na ww anakucheka,,pole sana ila kwenye maelezo yako naona kama hujamwacha vile,,na ni kwel hamjaachana ila we umejitetea ili ndoa yako isife,na pale uliposema uondoke wewe ni kwamba ulikua unaenda kwa kamchepuko chako,,duuuh umelaaniwa kweli kwa tamaaa aisee ila Nakuombea pepo la michepuko likutokeeeeeee... Sema amina.

Nalewa kidogo nitarudi baadae kuendelea kukuchamba na kukushauri kidgo kam TL anavyotaka kumchamba Sizonje pale Magogoni.. Unatokaje nje ndoa mtoto wa kiume heeeeh aibu huoni...waita lete mbili kwanza niendelee
Yaani sijui kwanini watu hawaelewagi kua shetani si rafiki ata kidogo!!!
Anakupa temporary pleasure for eternal pain!
Ni bora ukwapuke toka kwenye dhambi kabla hujakamatwa... Ukikamatwa shetani anakuongezea chumvi kabisa
 
Back
Top Bottom