Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,060
- 18,411
Achana na huu ushauri wa kulewa, ubaya hauondolewi na dhambi (pombe). Hivyo vyote ni ufalme wa gizà.Nikinywa huwa najichunga sana mienendo yangu maana bia inaweza kukusababishia kufanya mambo ambayo utakuja kujilaumu baada ya pombe kutoka kichwani