Nitakwenda Arusha kumchagua Lissu Urais wa TLS,haepukiki!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Sina haja ya kuficha. Kwanza, nimefanikiwa kuhuisha (ku-renew) Cheti changu cha Uwakili baada ya kukisitisha kwa miaka kadhaa. Kilichonivutia hadi kuhuisha cheti changu kwa mwaka huu 2017 ni uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) wa mwezi Machi mwaka huu kule Arusha.

Chama hichi cha Mawakili wa Tanganyika kinamhitaji Tundu Lissu kuwa rais wake. Kwa jinsi utawala wa awamu ya tano unavyosema na kufanya, TLS haina chaguo lingine zaidi ya Tundu Lissu kuwa Rais wake.

Lissu ni international figure. Akisema, Mawakili watakuwa wamesema. Lissu hujenga hoja;hutetea wafuasi wake; huthubutu kubuni visivyo vya kihuni; Lissu hutaka heshima kwa Mawakili na wananchi kwa ujumla. Ni Lissu tu.

Najua TLS ina wagombea watano kwenye Urais wa mwaka huu. Najua CCM tuna wagombea wetu wawili kati ta hao: Stolla na Mandari. CHADEMA nao wana wagombea wawili: Lissu na Masha. Lakini, Mawakili wakikutana Arusha huacha kando vyama vyao na kulinda maslahi yao.

Kwa wakati uliopo, Lissu haepukiki. Kwa wakati huu, kumchagua Lissu kuwa Rais Mawakili Tanganyika ni kuleta equilibrium hapa Tanzania. Nitakuwa Arusha kuanzia tarehe 12/3/2017 ili kufanikisha kuchaguliwa kwa Lissu.

Lissu si wa mchezomchezo. Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Sina haja ya kuficha. Kwanza, nimefanikiwa kuhuisha (ku-renew) Cheti changu cha Uwakili baada ya kukisitisha kwa miaka kadhaa. Kilichonivutia hadi kuhuisha cheti changu kwa mwaka huu 2017 ni uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS).

Chama hichi cha Mawakili wa Tanganyika kinamhitaji Tundu Lissu kuwa rais wake. Kwa jinsi utawala wa awamu ya tano unavyosema na kufanya, TLS haina chaguo lingine zaidi ya Tundu Lissu kuwa Rais wake.

Lissu ni international figure. Akisema, Mawakili watakuwa wamesema. Lissu hujenga hoja;hutetea wafuasi wake; huthubutu kubuni visivyo vya kihuni; Lissu hutaka heshima kwa Mawakili na wananchi kwa ujumla. Ni Lissu tu.

Najua TLS ina wagombea watao kwenye Urais wa mwaka huu. Najua CCM tuna wagombea wetu wawili kati ta hao: Stolla na Mandari. CHADEMA nao wana wagombea wawili: Lissu na Masha. Lakini, Mawakili wakikutana Arusha huacha kando vyama vyao na kulinda maslahi yao.

Kwa wakati uliopo, Lissu haepukiki. Kwa wakati huu, kumchagua Lissu kuwa Rais Mawakili Tanganyika ni kuleta equilibrium hapa Tanzania. Nitakuwa Arusha kuanzia tarehe 12/3/2017 ili kufanikisha kuchaguliwa kwa Lissu.

Lissu si wa mchezomchezo. Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Asante sana kama unadhamiria ya kweli. Ila tupatupa kweli ni wewe maana siku hizi umebadilika sana. hongera sana kaka
 
Nilimsikia mkuu akisema eti TLS wakichagua mwanasiasa hatatoa Jaji kutoka TLS!

Mshahara wa jaji hauzidi hata milioni tano kwa mwezi!! Wakili ambaye ana retainer (wateja)ya mabenki,saccoss,migodi,kesi za kawaida,mikataba anamzunguka Mara kumi jaji inapokuja mapato ya jumla ya mwaka!!

Na wakili anaweza,ndani ya masaa kuipata milioni tano ambayo jaji anaisotea mwezi mzima huku anafukuzana na takukuru,maofisa usalama wanarekodi simu zake,anarogwa na wenye makesi,akimiliki ka kiwanja mpaka akaandikie taarifa kwa tume ya maadili!!

Kwa mawakili wengi ujaji sio ishu na huwezi kutishia kuwanyima ujaji

Wazee kama akina Ismail walikuwa wanakataa ujaji japo waliombwa wawe majaji!

Akina prof juma....walikuwa wanakataa ujaji,akipata consultancy moja,anafunika mshahara wa ujaji wa miaka miwili!

Ujaji si kitu kwa wanasheria makini
 
Sina haja ya kuficha. Kwanza, nimefanikiwa kuhuisha (ku-renew) Cheti changu cha Uwakili baada ya kukisitisha kwa miaka kadhaa. Kilichonivutia hadi kuhuisha cheti changu kwa mwaka huu 2017 ni uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) wa mwezi Machi mwaka huu kule Arusha.

Chama hichi cha Mawakili wa Tanganyika kinamhitaji Tundu Lissu kuwa rais wake. Kwa jinsi utawala wa awamu ya tano unavyosema na kufanya, TLS haina chaguo lingine zaidi ya Tundu Lissu kuwa Rais wake.

Lissu ni international figure. Akisema, Mawakili watakuwa wamesema. Lissu hujenga hoja;hutetea wafuasi wake; huthubutu kubuni visivyo vya kihuni; Lissu hutaka heshima kwa Mawakili na wananchi kwa ujumla. Ni Lissu tu.

Najua TLS ina wagombea watao kwenye Urais wa mwaka huu. Najua CCM tuna wagombea wetu wawili kati ta hao: Stolla na Mandari. CHADEMA nao wana wagombea wawili: Lissu na Masha. Lakini, Mawakili wakikutana Arusha huacha kando vyama vyao na kulinda maslahi yao.

Kwa wakati uliopo, Lissu haepukiki. Kwa wakati huu, kumchagua Lissu kuwa Rais Mawakili Tanganyika ni kuleta equilibrium hapa Tanzania. Nitakuwa Arusha kuanzia tarehe 12/3/2017 ili kufanikisha kuchaguliwa kwa Lissu.

Lissu si wa mchezomchezo. Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tayari Mh. Lisu ni rais wa TLS, hakuna mbadala kwa wakati huu.
 
Wewe unakuja tarehe 12 March Mimi Niko ARUSHA kuhakikisha hiki kichwa kinakuwa Rais wa TLS ili magu a rethink juu ya maamuzi yake na matamko ya ovyo ovyo.

Tundu LISU atashindwa vibaya mno mark my words.Atatoka na aibu ya mwaka.Tusubirie porojo zake baada ya kushindwa.Utamsikia akiponda mawakili nk baada ya kushindwa
 
Francis Stolla ni wakili mzuri,na kiongozi mzuri,lakini sio kwa nyakati hizi,kila kitabu na wakati wake!

Kipindi hiki ambacho mawakili wanaambiwa wakiwatetea watu wanaotuhumiwa,eti nao (mawakili)waunganishwe kwenye kesi!

Pamoja na kauli hiyo,rais wa TLS ambaye nasikia anavizia ujaji,hajatoa kauli yoyote kupinga.

Anayesema mawakili waunganishwe na watuhumiwa pale wanapowatetea,ni huyo huyo anayeidhinisha pesa ili mawakili wawatetee watuhumiwa wa kesi za mauaji,kwa wasiojua,sheria unalazimisha mawakili kutetea watuhumiwa wa mauaji,na mawakili hao hulipwa na serikali!

Angeifuta kwanza hii ya kuwalazimisha mawakili wawatetee watuhumiwa wa mauaji na mawakili hao wakalipwa na serikali.

TLS hawafanyi public interest litigation,wamewaachia Legal and Human Right Centre!

Kipindi cha mchakato wa katiba mpya,TLS ilikaa kimya kabisa,hakuna anayejua walikuwa wanasimamia nini!waliwaachia Jukwaa la Katiba.

TLS ina kazi ya kuvizia consultancy toka serikalini, nadhani wanaogopa kuikosoa serikali wasikose vitenda vya hapa na pale!

TLS kwa zaidi ya miaka kumi wanachangisha mawakili ili wajenge jengo,lakini mpaka leo hawajasomba hata tripu moja ya mawe,hizo hela wanapeleka wapi?(ada za uwakili kwa mwaka zinakaribia 600,000/ mawakili wako 6000)piga hesabu uone wanakusanya Tsh ngapi,halafu hata tripu ya mawe wameshindwa kununua.

Wamebuni mradi wa kukusanya shilingi elfu 60 kwa semina,zidisha Mara 6000,mara kadhaa kwa mwaka!

TLS ni kupe aliyenenepa kwa ulafi.

Mahakama nyingi mawakili hawana sehemu za kukaa wakisubiri kesi,wanakuwa wamesimama masaa matatu mpaka sita
 
Kipindi hiki ambapo majaji na mahakimu wanaelekezwa na mkuu jinsi ya kufunga....na sio kufanya fair hearing !! Kwamba akija wewe mfunge tu! Kipindi ambacho sasa aliyeapa kuilinda katiba yenye ibara ya presumption of innocence, yeye anahubiri(tena siku ya sheria)presumption of guilty !! Na TLS iko kimya japo katiba inabinuliwa miguu juu kichwa chini!
 
Sina haja ya kuficha. Kwanza, nimefanikiwa kuhuisha (ku-renew) Cheti changu cha Uwakili baada ya kukisitisha kwa miaka kadhaa. Kilichonivutia hadi kuhuisha cheti changu kwa mwaka huu 2017 ni uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) wa mwezi Machi mwaka huu kule Arusha.

Chama hichi cha Mawakili wa Tanganyika kinamhitaji Tundu Lissu kuwa rais wake. Kwa jinsi utawala wa awamu ya tano unavyosema na kufanya, TLS haina chaguo lingine zaidi ya Tundu Lissu kuwa Rais wake.

Lissu ni international figure. Akisema, Mawakili watakuwa wamesema. Lissu hujenga hoja;hutetea wafuasi wake; huthubutu kubuni visivyo vya kihuni; Lissu hutaka heshima kwa Mawakili na wananchi kwa ujumla. Ni Lissu tu.

Najua TLS ina wagombea watano kwenye Urais wa mwaka huu. Najua CCM tuna wagombea wetu wawili kati ta hao: Stolla na Mandari. CHADEMA nao wana wagombea wawili: Lissu na Masha. Lakini, Mawakili wakikutana Arusha huacha kando vyama vyao na kulinda maslahi yao.

Kwa wakati uliopo, Lissu haepukiki. Kwa wakati huu, kumchagua Lissu kuwa Rais Mawakili Tanganyika ni kuleta equilibrium hapa Tanzania. Nitakuwa Arusha kuanzia tarehe 12/3/2017 ili kufanikisha kuchaguliwa kwa Lissu.

Lissu si wa mchezomchezo. Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Nakuheshimu sana, na nakukubali vilivyo. Huyumbishi maneno kabisa.
 
Nilimsikia mkuu akisema eti TLS wakichagua mwanasiasa hatatoa Jaji kutoka TLS!

Mshahara wa jaji hauzidi hata milioni tano kwa mwezi!! Wakili ambaye ana retainer (wateja)ya mabenki,saccoss,migodi,kesi za kawaida,mikataba anamzunguka Mara kumi jaji inapokuja mapato ya jumla ya mwaka!!

Na wakili anaweza,ndani ya masaa kuipata milioni tano ambayo jaji anaisotea mwezi mzima huku anafukuzana na takukuru,maofisa usalama wanarekodi simu zake,anarogwa na wenye makesi,akimiliki ka kiwanja mpaka akaandikie taarifa kwa tume ya maadili!!

Kwa mawakili wengi ujaji sio ishu na huwezi kutishia kuwanyima ujaji

Wazee kama akina Ismail walikuwa wanakataa ujaji japo waliombwa wawe majaji!

Akina prof juma....walikuwa wanakataa ujaji,akipata consultancy moja,anafunika mshahara wa ujaji wa miaka miwili!

Ujaji si kitu kwa wanasheria makini
Hakuna haja ya maneno yote hayo, mwambieni kwa maneno rahisi tu kuwa "ujaji" sio kilele cha mafanikio kwenye maisha ya wakili/mwanAsheria na sio kila mwanasheria atakuwa jaji katika maisha yake.
 
Back
Top Bottom