Ni hivi, ukiitwa kwenye interview sehemu, unatakiwa 1.)ukisome kile ulichoomba in general.
2.) Uisome kampuni husika pamoja na mission, vission zao, wapo tangu mwaka gani, uisome report yao ya karibuni ili ujue wapi waliposhindwa au wapi walipo fanikiwa- kama una muda
3. Unataliwa uzijue zile Duties zilizoandikwa kwenye maombi ya kazi- mara nyingi ukiulizwa utafanya nn basi jibu linatoka hapa au jtaulizwa direct
4. Ujue kwa nafasi uliomba report gani unaanda either kwa siku, wiki au mwezi ya kumtumia senior wako
That y nikaomba aliekua hajwahi kufanya interview hata mara moja aje tushauriane cjataka mwenye swali lake binafsi