mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 303
- 657
Tuna miezi sita kwenye mapenzi yetu.
Mimi nampenda sana ila sina hakika kama yeye ananipenda.
Kwa nini sina hakika? Hataki kabisa kunipa tunda...
Nimeshafanya kila kitu kupruv kwake kwamba ninampenda na kiukweli nampenda.
Natoa kwa moyo mweupe msaada wa kifedha na wa aina nyingine anapoitaji au hata hasipoitaji najiongeza kiume.
Kama ni zawadi nampatia.
Attention kama zote anapata toka kwangu kwenye shida na raha. maana yeye kazi hana mwenzangu.
Sasa nimeanza kupatwa na mashaka kama kuna love kutoka kwake sababu hataki kabisa kunipa mzigo, anasema niendelee kuvuta subra na sijui nitasubiri mpaka lini. Maana napata hisia kali sana juu yake. Ila romance fresh ananipa nikitaka game ndio NO.
Kingine hataki kabisa kukanyaga kwangu imagine miezi yote hiyo hajawai kugusa kwangu. kwake mie naendaga kwangu kuja ni mwiko ikifika siku ya kuja kwangu ni excuse za kitoto anaweza hata kusema kichwa kinauma ila never kukanyaga kwangu.
Kingine anachonipa mashaka ana mazoea sana na marafiki wa kiume nikimmaind anasema ni washikaji tu, japo kwa research yangu ya kimya kimya nimegundua hawamgongi. Lakini bado nna mashaka naendelea kutafiti.
Wataalam wa mambo mniambie huyu msichana ni wa kuendelea nae au ni tapeli wa mapenzi nimpige chini?
Huwa nachovyachovya pembeni lakini naona sio fair alafu nataka nitulie na mtu wangu ila mtihani ndio huo natuliaje na mtu asiyenipa mchezo.
Nasemaga sijui nimbake nikiwa nae kwenye gari ila naona sio ubinadamu nitakuwa sina tofauti na mnyama.
mansemaje wakuu?
Mimi nampenda sana ila sina hakika kama yeye ananipenda.
Kwa nini sina hakika? Hataki kabisa kunipa tunda...
Nimeshafanya kila kitu kupruv kwake kwamba ninampenda na kiukweli nampenda.
Natoa kwa moyo mweupe msaada wa kifedha na wa aina nyingine anapoitaji au hata hasipoitaji najiongeza kiume.
Kama ni zawadi nampatia.
Attention kama zote anapata toka kwangu kwenye shida na raha. maana yeye kazi hana mwenzangu.
Sasa nimeanza kupatwa na mashaka kama kuna love kutoka kwake sababu hataki kabisa kunipa mzigo, anasema niendelee kuvuta subra na sijui nitasubiri mpaka lini. Maana napata hisia kali sana juu yake. Ila romance fresh ananipa nikitaka game ndio NO.
Kingine hataki kabisa kukanyaga kwangu imagine miezi yote hiyo hajawai kugusa kwangu. kwake mie naendaga kwangu kuja ni mwiko ikifika siku ya kuja kwangu ni excuse za kitoto anaweza hata kusema kichwa kinauma ila never kukanyaga kwangu.
Kingine anachonipa mashaka ana mazoea sana na marafiki wa kiume nikimmaind anasema ni washikaji tu, japo kwa research yangu ya kimya kimya nimegundua hawamgongi. Lakini bado nna mashaka naendelea kutafiti.
Wataalam wa mambo mniambie huyu msichana ni wa kuendelea nae au ni tapeli wa mapenzi nimpige chini?
Huwa nachovyachovya pembeni lakini naona sio fair alafu nataka nitulie na mtu wangu ila mtihani ndio huo natuliaje na mtu asiyenipa mchezo.
Nasemaga sijui nimbake nikiwa nae kwenye gari ila naona sio ubinadamu nitakuwa sina tofauti na mnyama.
mansemaje wakuu?