Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,736
- 5,046
Ingekuwa zama hizi nafikiri ungejiunga Yanga princessNa mimi nikajifunza kupiga kama yeye, siku moja kwenye michezo shuleni sekondari wakati wa mazoezi mwalimu akatenga mpira akaniambia nipige, alishika kichwa hakuamini!
Aliniambia “Nifah, hata wavulana kwenye kikosi chetu hawapigi hivi. Kwanini hukuwa mwanaume?, hiki ni kipaji” Heheee