Mzee uko mbali sana kuzingatiy siku izi zime shuka sn
Shida pesa boss ndo nilipo kwama apo na mimi nili taka niende nayo ukweni chadulumkuu inategemea na condition ya gari.
Gari hii ipo katika hali nzuri sana, ambapo haiwezi uzwa kwa 6 million, kama utaweza ongeza hizo 2 tumalize biashara hii.
Shida pesa boss ndo nilipo kwama apo na mimi nili taka niende nayo ukweni chadulu
hahaha, basi sawa mkuu kama bahati ni yako utakuja lipata tuu kwa ambaye ntamuuzia kwa bei hiyo.
aya mkuu naon utaki nibarikiya pesa ipo mfuko wa shart....wacha nipande stuff za kaznMkuu naweza uka nitumiy picha ya iyo DHF niiangaliy uwenda tukafanya businessHutapata kuuza kwa mil 8 ww! Niamaini mm, labda huko hawajui magari, dar kuna namba DHF mpaka leo haijapata mteja wa mil 6.
Kila mtu na bahati yake!Hutapata kuuza kwa mil 8 ww! Niamaini mm, labda huko hawajui magari, dar kuna namba DHF mpaka leo haijapata mteja wa mil 6.
Every general rule has exceptions..Xtrail ni gari nzuri sana ila kutokana na maneno ya mtaani ilishahushwa thamani automatically. Yaani ukiuza XTRAIL inaonekana unauza gari bovu
Nikuamini wewe ni nani ili hali kuna mtu kashafika 7 hapa, naendelea kusubiria bei yangu ni 8 milli...Hutapata kuuza kwa mil 8 ww! Niamaini mm, labda huko hawajui magari, dar kuna namba DHF mpaka leo haijapata mteja wa mil 6.
inaonekana wewe ni mgeni wa biashara ya magari.Hutapata kuuza kwa mil 8 ww! Niamaini mm, labda huko hawajui magari, dar kuna namba DHF mpaka leo haijapata mteja wa mil 6.
Xtrail ni gari nzuri sana ila kutokana na maneno ya mtaani ilishahushwa thamani automatically. Yaani ukiuza XTRAIL inaonekana unauza gari bovu
ipo nyingine yenye namba CDU Dododma kwa 6.5M, cheki kwa number 0717441332Uki uza 6M ni shtuwe nije kuchukuwa