Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Nauliza tu, maana matukio mengine hata yakiwa na ushahidi kiasi gani, kufanyiwa kazi inakuwa ngumu sana. Sasa sijui huwa wanajua wanachokitafuta kilipo maana mtu anayetafuta kitu akijuacho huwa anazunguka tu.
Kama mtoto aliyefumaniwa na mnofu wa nyama mdomoni, ukimuuliza nini hiyo Mdomoni, mmmmm naumwa jino, ukimwambia panua mdomo anaanza kulia mmmmmmmmmmmmmmmmmmmm niache linauma, au anakimbia.
Polisi wetu ndicho wanachokifanya, Namba za Nissani zimetajwa, taarifa zikoje?
Kama mtoto aliyefumaniwa na mnofu wa nyama mdomoni, ukimuuliza nini hiyo Mdomoni, mmmmm naumwa jino, ukimwambia panua mdomo anaanza kulia mmmmmmmmmmmmmmmmmmmm niache linauma, au anakimbia.
Polisi wetu ndicho wanachokifanya, Namba za Nissani zimetajwa, taarifa zikoje?