Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,915
Biashara inaendelea baada ya fitna kutaka kuingia kati
umeonaee! baadhi ya watu humu jf wanakurupuka, mtu unaandika comment yako saa saba za usiku upo baa ama umeamka toka usingizini kwenda choon ukishatoka ukichanganya akili ya usingizi na akili ya choon ni lazima uandike vitu vya kukurupuka! kwa damu ya yesu fitina Tokaaa!Biashara inaendelea baada ya fitna kutaka kuingia kati
we jamaa nakuona unavyohangaika kuiuza hii gari toka week ya 3 sasa na kuna site nyingine umeitangaza mpaka kwa 2.5mil, leo hii amejitokeza mtu kwa 2.5 badala ya kumshukuru mungu unasema tena huuzi et 3 mwisho. Umenishangaza ujue.... Unapoelekea ni kuuza 1.5 sasa maana hata wa 2 kamili naweza ukakosa. Kuwa na msimamo au kama umeongeza mafuta ya laki 5 tuambie
ushahidi huu hapa
http://www.cheki.co.tz/for-sale/1998-nissan-march-dar-es-salaam-tanzania-a33284.html
View attachment 200950
nimekusaidia tu kutangaza biashara yako.
ndugu yangu jaribu kusoma matangazo vizuri sio unakurupuka kwa kufuata mkumbo! hiyo gar unayoiona hapo na kwenye tangazo hapo juu kabisa n gar moja? ama unakurupuka! kuwa muangalifu nduguhapa sasa hata mie amenishangaza...
Hii gari nimeiona mahali inatangazwa chini ya hiyo bei ya 3.5..!!!!
Kule alisema ni milion mbili na nusu na maongezi yapo..!!!!
Haya mteja huyo kafika pale ulipopataka..!!
Una badili mawazo tena..!!
Mh naanza kuingiwa na wasi wasi na hii gari..!!!!!!!!