mwisho 3 milion chini ya hapo siuzinikupe 2.5 hta leo km uko tayari nimpe mtu contact zako japo sijajua uko wap nitafutie na dereva wa kuileta singida nitamlipa
mbona namba ipo hapo juu! 0716 002323Oya weka contact
Sent from my iPhone using JamiiForums
nikupe 2.5 hta leo km uko tayari nimpe mtu contact zako japo sijajua uko wap nitafutie na dereva wa kuileta singida nitamlipa
mwisho 3 milion chini ya hapo siuzi
we jamaa nakuona unavyohangaika kuiuza hii gari toka week ya 3 sasa na kuna site nyingine umeitangaza mpaka kwa 2.5mil, leo hii amejitokeza mtu kwa 2.5 badala ya kumshukuru Mungu unasema tena huuzi et 3 mwisho. Umenishangaza ujue.... unapoelekea ni kuuza 1.5 sasa maana hata wa 2 kamili naweza ukakosa. kuwa na msimamo au kama umeongeza mafuta ya laki 5 tuambie
Ushahidi huu hapa
http://www.cheki.co.tz/for-sale/1998-nissan-march-dar-es-salaam-tanzania-a33284.html
View attachment 200950
Nimekusaidia tu Kutangaza biashara yako.
elimu ndio inayokupa shida hiyo picha uliyoiweka sio gari yangu, namba ya gari yangu n T 633 AXU, sasa angalia namba ya hiyo gari na rangi! rangi ya gari yangu n orange na hiyo picha uliyoiweka n gar ya rang nyekundu na kuhusu hiyo site huko kote nimepita kwahivyo naamua kuuza kwa bei ninayoitaka mimi kwakuwa gari yangu bado nzima na kama haunma uwezo wa kununua usiwe mropokaji. hivi kwa kiangalia tu kwa macho hiyo gari uliyoiweka ndo ya kwangu? mimi sio dalali mimi ni owner na ninakuonya usiwe mropokaji pasipokuchunguza!we jamaa nakuona unavyohangaika kuiuza hii gari toka week ya 3 sasa na kuna site nyingine umeitangaza mpaka kwa 2.5mil, leo hii amejitokeza mtu kwa 2.5 badala ya kumshukuru Mungu unasema tena huuzi et 3 mwisho. Umenishangaza ujue.... unapoelekea ni kuuza 1.5 sasa maana hata wa 2 kamili naweza ukakosa. kuwa na msimamo au kama umeongeza mafuta ya laki 5 tuambie
Ushahidi huu hapa
http://www.cheki.co.tz/for-sale/1998-nissan-march-dar-es-salaam-tanzania-a33284.html
View attachment 200950
Nimekusaidia tu Kutangaza biashara yako.
gari n T 633 AXU na sio hiyo ya ARD, acheni kukurupukaalafu huku imetembea km 98,000
na wewe ipilimo punguza kutumia simu za promotion hiyo itakusaidia kupunguza kufuata mkumbo wa waropokaji humu! hivi kwa picha nilizoweka hapo juu ya gar yangu inafanana na ya huyo mama huyo mama anayeitwa Hunijui?duh kiboko, napita tu, jamaa kamsiadia kuuza, JF bwana!!
asante kwa kunielewa mpendwakweli bwana, namimi niiangalia kwa haraka, nikaona jamaa kadandia uzi wako!! tuendelee na biashara, usijali mkuu wangu.
nakutumia sasa hivNitumie picha mkuu watsap au Nipigie 0765510904