Changamoto za gari ni mafundi mkuu. Karibia wote ni waongo,na kwa sababu anajua ukija utaacha hela, basi wengi watakuhangaisha. Nina ki RAV4 changu, mwaka wa 2 sasa,nadeal na sevisi na vitu vidogo vidogo tu. Na kamwe usiachie fundi gari,peke yake. Hili si rahisi,lakini utaumia. Tatizo kumpata anaeiba kidogo