Tupia picha
ahsante kwa ushauriKwani tatizo la gari ni lipi? Tatizo huwaga mmiliki. Gari ni kama mtoto. Usipolijali na kulihudumia,usitegemee kulifurahia. Kikubwa utambuwe kuwa gari linahitaji pesa kwanza. Kama una hela ya mboga tu,gari achana nalo. Kama unapiga madeal ya maana, nunua lolote. Ila,kwa ushauli zaidi,Toyota ni bora kwa matunzo ya kawaida na upatikanaji wa spea
Message kwa ushauli zaidiahsante kwa ushauri
Changamoto za gari ni mafundi mkuu. Karibia wote ni waongo,na kwa sababu anajua ukija utaacha hela, basi wengi watakuhangaisha. Nina ki RAV4 changu, mwaka wa 2 sasa,nadeal na sevisi na vitu vidogo vidogo tu. Na kamwe usiachie fundi gari,peke yake. Hili si rahisi,lakini utaumia. Tatizo kumpata anaeiba kidogoHamna gari ambalo halina changamoto,we nunua enjoy maisha
shukrani mkuuChangamoto za gari ni mafundi mkuu. Karibia wote ni waongo,na kwa sababu anajua ukija utaacha hela, basi wengi watakuhangaisha. Nina ki RAV4 changu, mwaka wa 2 sasa,nadeal na sevisi na vitu vidogo vidogo tu. Na kamwe usiachie fundi gari,peke yake. Hili si rahisi,lakini utaumia. Tatizo kumpata anaeiba kidogo
yaah ni ndogo ila kwa sasa nipo mimi na wife tu so kwa sasa naona itatoshaGari nzuri na ina sifa zote za Nissan, tatizo size ndogo kwa watu wenye familia
yaah ni ndogo ila kwa sasa nipo mimi na wife tu so kwa sasa naona itatosha
pamoja sanaKamata chombo hiyo, jitahidi tu usiruke service na utumie Nissan recommended oil
Mafundi wa vichochoroni miyeyushoChangamoto za gari ni mafundi mkuu. Karibia wote ni waongo,na kwa sababu anajua ukija utaacha hela, basi wengi watakuhangaisha. Nina ki RAV4 changu, mwaka wa 2 sasa,nadeal na sevisi na vitu vidogo vidogo tu. Na kamwe usiachie fundi gari,peke yake. Hili si rahisi,lakini utaumia. Tatizo kumpata anaeiba kidogo