Nisome I.T chuo kipi

Nisome I.T chuo kipi

posi

Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
66
Reaction score
26
Nina four ya 31 na ninahitaji kusoma I.T he itawezekana wapendwa naombeni ushauri wenu jameni na chuo kipi nisome.
 
Mbn nko vzuri kwenye mambo ya I.T na kila mTu ananishauri niende nikasome Msaada plz
 
Mbn nko vzuri kwenye mambo ya I.T na kila mTu ananishauri niende nikasome Msaada plz
 
Four ya 31 na uende DIT? How!
Ili uingie DIT lazima uwe umesoma science na pia uwe na ufaulu wa masomo ya science 3

Kama una D 3 au 4 kama hazifiki basi fanya biashara au uwe fundi wa simu tu
 
Nenda DIT ni pazuri sana ila I T ni zaidi ya darasan lazima uweze kujiongeza ili uweze kufanya vizur naongea ivyo kwasababu nipo kwenye iyo Field.
 
Hivi itawezekana Kwel had nataka kukata tamaa
 
Nenda DIT ni pazuri sana ila I T ni zaidi ya darasan lazima uweze kujiongeza ili uweze kufanya vizur naongea ivyo kwasababu nipo kwenye iyo Field.
Asante mkuu
 
Fuata unachokipenda usikatishwe tamaa, nenda kapambane.
 
Haiwezekani. Kama una 4 ya 31 halaf usome IT, utaishi a sup kisha disco
Hahah bro acha kumkatisha tamaa. Wapo waliosoma it na hizo marks na wakapasua. It is all down to mtu binafsi na amejiandaaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom