Nishaurini kati ya ECA na EGM

Apo jodoki nmekuxoma kumbe cha kuzingatia ni kukomalia ktabu fan yeyote inakutoa
Ni kweli mkuu though unatakiwa uangalie fani ambayo moyo wako inapenda na kwanini umeichagua hiyo ili ukienda kumwomba mtu ushauri unakuwa unaonekana una malengo flani kisha si mbaya ukaangalia na fani zingine ambazo zinaonekana ni deal machoni pa watu kwani unaweza ukapata ushauri mzuri kiasi kwamba ukaona uchaguzi wako wa awali ni batili lakini kikubwa lazima hizo fani zingine ulizoshauriwa uwe na uwezo nazo. Nikiangalia ECA na EGM hapo kama ni kusoma ni fani yoyote kwani zote zinashabiana kikubwa O-level uwe umesoma nini na ulikuwa kichwa, kwa vyovyote wewe umesoma Commerce na Book keeping O level na ukafaulu vizuri na ndio maana unaumiza kichwa uchukue nini kati ya EGM na ECA. Kama ni mie ningechukua EGM ili nipanue wigo wangu wa uelewa kwa kuongezea Economics huku masomo ya Commerce na Book keeping nikiwa nimeyasoma O-level ambayo yatakuja kunisaidia wakati nataka ku-join chuo. Nimeshaona watu walisoma PCB leo hii ni wahasibu sasa kwa maana hiyo hata wewe utakaosoma EGM nadhani unaweza kuwa na wigo mpana wa kuchagua fani including hizo za uhasibu kwani tayari O-level tayari ulishayagusa na kiukweli kabisa kwa fani nyingi ni masomo ya O level yanabeba kwani kama ulikuwa kilaza O leve ila ukafaulu kwa bahati na A level kama uli-balance comb ukapata zali ukaingia chuo usomaji huwa ni msuli sana tofauti na mtu ambae alikuwa bright o level
 
Wana jf naombeni mnishauri kuhus iz comb mbil ni ip haswa ina market uko mbele.me nimemliza 4m4 mwaka jana 2012 na nmefauru vzur ila xa kuchagua comb ndo kumenichanganya kat ya EGM na ECA celew ip ni baab kubwa na kwasababu na sifa za kuweza kuchukua komb yeyote naomben mnishaur ip ni komb nzur zaid na ina market zaid uko mbele

Kama unataka kusomea mambo ya accounting/finance/business, ECA ndiyo chaguo sahihi kabisa.
Kama unataka mambo ya uchumi, EGM imetulia na ina wigo mpana kwenye options za kuchagua courses.

Ila kikubwa, kasome combination unayoipenda na unahisi utaimudu.
Hakuna combination rahisi kati ya hizo.
 
Kama unataka kusomea mambo ya accounting/finance/business, ECA ndiyo chaguo sahihi kabisa.
Kama unataka mambo ya uchumi, EGM imetulia na ina wigo mpana kwenye options za kuchagua courses.

Ila kikubwa, kasome combination unayoipenda na unahisi utaimudu.
Hakuna combination rahisi kati ya hizo.

Kwan mtu wa egm hawezi kusoma accountanting na finance au na biashara...na eca hasomi uchumi!! Embu fikiria zaid kijana!!!
 
sorry,, hivi mtu liye soma EGM anaweza kusomea software engineering ya pale Udom na anatakiwa awe na vigezo gani

Nawasilisha,,,,,,,,
 
Kwan mtu wa egm hawezi kusoma accountanting na finance au na biashara...na eca hasomi uchumi!! Embu fikiria zaid kijana!!!
Ulichonifurahisha ni kuniita kijana wakati hunifahamu.
Nadhani hujanielewa vizuri, accounting/finance inaweza kusomwa na mtu yeyote hata kama amesoma HKL. Nilichomaanisha ni urahisi wake unapokuwa umesoma ECA.
Kwanza unakuwa na foundation ya accounting knowledge ambayo mwingine hawezi akaipata kupitia elimu ya chuo ambayo ipo very limited. Hii ndio maana unakuta mtu aliyesoma kombi nyingine akafaulu sana accounting ya chuo ila kazini anakuwa anapata tabu kuzielewa entries kisawasawa (hapa simaanishi wote kwani inategemea na hali ya kujituma kwa mtu katika kujisomea accounting standards; journal and any other relevant book)

Sentensi zangu za ushauri sijaweka limit bali nilisema ipi inakuwa ni nzuri.
Ukisoma EGM inakuwa rahisi kuelewa uchumi kwa kuwa ufahamu wako wa advanced mathematics ni mkubwa na haitakusumbua kwenye hesabu za uchumi kama vile 'econometrics'

Haya yote nayazungumzia kwa uzoefu wangu. Inawezekana unaniita kijana halafu ukawa umemaliza chuo mwaka jana au ndio kwanza ni mwanafunzi wa undergraduate/a-level.
Ila tupo pamoja, najua yote ni kwa ajili ya kuelimishana.
 
Lazima uangalie malengo yako mbeleni katika masomo yako then ndo utafute njia ya kukufikisha hapo namaanisha comb husika.Siku nyingine usitumie huo utoto wako wa FB penye S usiweke X.Over....
 
Wana jf naombeni mnishauri kuhus iz comb mbil ni ip haswa ina market uko mbele.me nimemliza 4m4 mwaka jana 2012 na nmefauru vzur ila xa kuchagua comb ndo kumenichanganya kat ya EGM na ECA celew ip ni baab kubwa na kwasababu na sifa za kuweza kuchukua komb yeyote naomben mnishaur ip ni komb nzur zaid na ina market zaid uko mbele
Kama uko vizuri kwenye maths, na ukipata shule nzuri pia, basi soma EGM, otherwise soma ECA. kazi ni mipango ya Mungu, kwanza piga shule kijana..
 
Asanteni sana kwa ushauri wenu.but cjamuelewa vzur tutaweza alposema kuwa hata ukichukua HKL unaweza ukaja chukua course za a/c from what i know anayeruhusiwa kuchukua koz izo ni wale waliosoma either pure math or BAM.which means wanaoruhusiwa ni wale waliosoma ECA,EGM,HGE, na kombi zote za sayans xababu wote wanasoma bam
 
Asanteni sana kwa ushauri wenu.but cjamuelewa vzur tutaweza alposema kuwa hata ukichukua HKL unaweza ukaja chukua course za a/c from what i know anayeruhusiwa kuchukua koz izo ni wale waliosoma either pure math or BAM.which means wanaoruhusiwa ni wale waliosoma ECA,EGM,HGE, na kombi zote za sayans xababu wote wanasoma bam

hujaelewa nini au unataka kuleta ubishi? HKL anaweza kusoma Accounting provided alisoma commerce na book keeping O-level
 
Mi naona egm ina wigo mpana,lakini kama kijana anapenda mambo ya accounts na finance na biashara kwa ujumla soma eca,mi nlisoma eca na nimepata uelewa mkubwa wa mambo ya biashara ,uhasibu na uchumi,kama umefaulu vizuri hesabu itakusaidia sana chuo pia katika kupanua wigo wa course.egm geography na math naona kama ni masomo ya kiprofesional zaidi ila ukisoma uchum,uhasibu na biashara unaweza ku analyse mambo ya biashara kwa mda uliopo/kwenda na wakati.ila eca mtiti jipange kama hujui acount bora uende egm,egm hesabu kama unababaisha na geography usiguse egm.
 
EGM ina wigo mpana utapofikia kipindi cha kuchagua degree programmes....ukisoma mathematics degree programme zinazo husiana na eca unaweza soma kama accounting, bcom japo zinaweza kukusumbua kidogo kwa kuto kuzisoma advance ..ila ukisoma EGM unaweza soma.. economics,statistics,actuarial science,accounting,bcoms etc (na nyingine nying) xo dg EGM ni kila ki2
 
Back
Top Bottom