kuku ashaliwaWe mwanzisha sredi ni he/she?
Kama ni she basi STUKA!!
Kama ni he ndugu yangu ukiona manyoya ujue....
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!
Mhhh, hapo penye bold pamenichanganya kidogo, miaka sita unaishi naye halafu hapo hapo tena mnaonana naye kila weekend, maana ya kuishi pamoja si ni kuwa mnaishi nyumba moja na kuonana kila siku?!
Anyway, back to mada yako, ki ukweli muda uliokaa naye kwenye huo uchumba wa kuonana kila weekend ni mrefu sana. Ktk hali ya kawaida, nilitegemea labda mngekuwa kwenye mipango ya ndoa au mmefunga ndoa kabisa ..., Kwa ushauri ni vizuri uzitafakari njia zako wapi ulikosea, na pia kuanza uchunguzi wa nini sababu ya yeye kupunguza mapenzi kwako kama ni kweli ubize wa kazi au kidudu mtu kimeshavamia penzi lenu! Ni vzr pia kujihoji sababu na hatma ya uchumba wenu wa miaka sita kinaga ubaga ili mdogo wangu usiendelee kuinvest penzi na muda wako sehemu ambayo hutaweza kula matunda yake. Ikibidi, shirikisha rafiki zake wa karibu waaminifu huenda watakusaidia kujua tatizo ni nini! Kama si wa kueleweka, waache, watavuraga zaidi mahusiano yako na endeleza uchunguzi wewe mwenyewe.
Pole kwa hilo.
HP
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!
miaka sita mtoto si anaanza shule kabisa hapo? loh ..... ngoja nipite tu kimyakimya hapa....mimi alonitongoza tu jana leo anataka tufunge ndoa ,wewe miaka sita? au miezi sita? sijaelewa....
We si ungeshukuru, angalau anakupigia simu kwa week mara moja :cool2:
itakua kuna mtu anamchanganya si bure
mchunguze tu au nenda kwake siku wk end bila kumuambia
Mkalishe kitako na umuulize nini kinamsumbua
Labda ameona mapenzi yenu hayana dira wala mwelekeo
Miaka 6 si haba angalau kungekuwa na matumaini ya neema huko mbeleni
miaka sita mtoto si anaanza shule kabisa hapo? loh ..... ngoja nipite tu kimyakimya hapa....mimi alonitongoza tu jana leo anataka tufunge ndoa ,wewe miaka sita? au miezi sita? sijaelewa....
ilo la msingi mana anaweza kuzimia bure hukoMh! Atafute chanjo ya ugonjwa wa moyo kwanza.
kunawaka au kushateketea kunakaribia kuishakwenye moshi....?....
itakua kuna mtu anamchanganya si bure
mchunguze tu au nenda kwake siku wk end bila kumuambia
Acha vituko wewe!..jana kakutongoza, leo anataka ndoa, kesho sijui atataka nini??
Hayo mapenzi ya kichina! Najua unaweza kujifariji kuwa kuna watu wanakaa hivyo hata miaka 10. Yaani miaka sita 'mnapendana' upendo ambao hauna nguvu ya kuwafanya muishi pamoja! Ukiulizwa hiyo ni desturi ya wapi?! Unajua kizazi hiki tunajidai wajanja kuliko wazazi wetu lkn ukweli ni kuwa tuko watupu sana, hatuna lolote.
Mhhh, hapo penye bold pamenichanganya kidogo, miaka sita unaishi naye halafu hapo hapo tena mnaonana naye kila weekend, maana ya kuishi pamoja si ni kuwa mnaishi nyumba moja na kuonana kila siku?!
Anyway, back to mada yako, ki ukweli muda uliokaa naye kwenye huo uchumba wa kuonana kila weekend ni mrefu sana. Ktk hali ya kawaida, nilitegemea labda mngekuwa kwenye mipango ya ndoa au mmefunga ndoa kabisa ..., Kwa ushauri ni vizuri uzitafakari njia zako wapi ulikosea, na pia kuanza uchunguzi wa nini sababu ya yeye kupunguza mapenzi kwako kama ni kweli ubize wa kazi au kidudu mtu kimeshavamia penzi lenu! Ni vzr pia kujihoji sababu na hatma ya uchumba wenu wa miaka sita kinaga ubaga ili mdogo wangu usiendelee kuinvest penzi na muda wako sehemu ambayo hutaweza kula matunda yake. Ikibidi, shirikisha rafiki zake wa karibu waaminifu huenda watakusaidia kujua tatizo ni nini! Kama si wa kueleweka, waache, watavuraga zaidi mahusiano yako na endeleza uchunguzi wewe mwenyewe.
Pole kwa hilo.
HP