Nishaurini jamani! Mapenzi yamenipa mgongo!!

miaka sita mtoto si anaanza shule kabisa hapo? loh ..... ngoja nipite tu kimyakimya hapa....mimi alonitongoza tu jana leo anataka tufunge ndoa ,wewe miaka sita? au miezi sita? sijaelewa....
 
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!
 
vunja ukimya....
mueleze mabadiliko yako....
mwambie nini unataka toka kwake....

ikishindikana chapa lapa
 
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..

...Pole sana dada, huyu ndio kishatupa jongoo na mti wake...dalili zinaonyesha hivyo.

 
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!



kwani kasema yeye ni bidada jamani?
 
Mhhh, hapo penye bold pamenichanganya kidogo, miaka sita unaishi naye halafu hapo hapo tena mnaonana naye kila weekend, maana ya kuishi pamoja si ni kuwa mnaishi nyumba moja na kuonana kila siku?!

Anyway, back to mada yako, ki ukweli muda uliokaa naye kwenye huo uchumba wa kuonana kila weekend ni mrefu sana. Ktk hali ya kawaida, nilitegemea labda mngekuwa kwenye mipango ya ndoa au mmefunga ndoa kabisa ..., Kwa ushauri ni vizuri uzitafakari njia zako wapi ulikosea, na pia kuanza uchunguzi wa nini sababu ya yeye kupunguza mapenzi kwako kama ni kweli ubize wa kazi au kidudu mtu kimeshavamia penzi lenu! Ni vzr pia kujihoji sababu na hatma ya uchumba wenu wa miaka sita kinaga ubaga ili mdogo wangu usiendelee kuinvest penzi na muda wako sehemu ambayo hutaweza kula matunda yake. Ikibidi, shirikisha rafiki zake wa karibu waaminifu huenda watakusaidia kujua tatizo ni nini! Kama si wa kueleweka, waache, watavuraga zaidi mahusiano yako na endeleza uchunguzi wewe mwenyewe.

Pole kwa hilo.

HP

Naunga Mkono hoja wako. We kweli ni GT.
 
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!

Pole sana, lakini mmekaa katika uchumba kwa muda mrefu sana. Fuatilia na muulize kwa utulivu ili akupe ukweli, na ikiwa amebadili mawazo usilazimishe utampata mwingine atakayekupenda kwa dhati, lakini ikiwa hivyo hakikisha hamkai tena muda mrefu bila kufunga ndoa.
 
miaka sita mtoto si anaanza shule kabisa hapo? loh ..... ngoja nipite tu kimyakimya hapa....mimi alonitongoza tu jana leo anataka tufunge ndoa ,wewe miaka sita? au miezi sita? sijaelewa....

Smile usishangae mpenzi hayo mambo ya mda mrefu hivyo yapo labda walikua skonga ndo maana hata hivyo nionavyo mwanaume atakayekuacha mda mrefu hivyo atakua na malengo na wewe kama yeye ndo alikuanza au hajakuonja so lazima atakuwa na hamu ya kujua yaliyomo kama cvyo ameshakuona c lolote kwa hiyo uangalie ustaarabu mwingine nawasilisha
 
Mkalishe kitako na umuulize nini kinamsumbua
Labda ameona mapenzi yenu hayana dira wala mwelekeo
Miaka 6 si haba angalau kungekuwa na matumaini ya neema huko mbeleni

hata nikimuliza hasemi chochote.
 
  • Thanks
Reactions: LD
miaka sita mtoto si anaanza shule kabisa hapo? loh ..... ngoja nipite tu kimyakimya hapa....mimi alonitongoza tu jana leo anataka tufunge ndoa ,wewe miaka sita? au miezi sita? sijaelewa....

Acha vituko wewe!..jana kakutongoza, leo anataka ndoa, kesho sijui atataka nini??
 
Hayo mapenzi ya kichina! Najua unaweza kujifariji kuwa kuna watu wanakaa hivyo hata miaka 10. Yaani miaka sita 'mnapendana' upendo ambao hauna nguvu ya kuwafanya muishi pamoja! Ukiulizwa hiyo ni desturi ya wapi?! Unajua kizazi hiki tunajidai wajanja kuliko wazazi wetu lkn ukweli ni kuwa tuko watupu sana, hatuna lolote.

ahsante kwa ushauri wko mzur.
 
Mhhh, hapo penye bold pamenichanganya kidogo, miaka sita unaishi naye halafu hapo hapo tena mnaonana naye kila weekend, maana ya kuishi pamoja si ni kuwa mnaishi nyumba moja na kuonana kila siku?!

Anyway, back to mada yako, ki ukweli muda uliokaa naye kwenye huo uchumba wa kuonana kila weekend ni mrefu sana. Ktk hali ya kawaida, nilitegemea labda mngekuwa kwenye mipango ya ndoa au mmefunga ndoa kabisa ..., Kwa ushauri ni vizuri uzitafakari njia zako wapi ulikosea, na pia kuanza uchunguzi wa nini sababu ya yeye kupunguza mapenzi kwako kama ni kweli ubize wa kazi au kidudu mtu kimeshavamia penzi lenu! Ni vzr pia kujihoji sababu na hatma ya uchumba wenu wa miaka sita kinaga ubaga ili mdogo wangu usiendelee kuinvest penzi na muda wako sehemu ambayo hutaweza kula matunda yake. Ikibidi, shirikisha rafiki zake wa karibu waaminifu huenda watakusaidia kujua tatizo ni nini! Kama si wa kueleweka, waache, watavuraga zaidi mahusiano yako na endeleza uchunguzi wewe mwenyewe.

Pole kwa hilo.

HP

ahsante sn. Ha2wez kuish pamoja coz mm bado ni mwanafunz nnetegemea kuingia chuo mwaka huu.ila ntafata ushaur wko.ahsnt.
 
Back
Top Bottom