Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Kweli kabisa usije ukathubutu kuoa Mmachame au Mchagga yeyote for that matter.Tunatisha kama ukoma....pesa ndo kitu pekee tunachokipenda kwa dhati...ndo maana tunafanya kazi wakati nyie wengine mmelala!
Ushauri...oa wa kwenu kwasababu tabia ZENU zitakua moja na wazazi wako hawawezi kupinga kwasababu nao wanazo!!
Sijui!Kwani nao wanafanana na sisi?!Mmmmmnnnhhh.....kama wanawake wa kikenya sio?
hahaha! Naona memtolea uvivu!nyambaf!mi nadhani we umetumwa kuleta hoja za ukabila humu,ungesema na wewe ni kabila gani make inawezekana na wewe una matatizo ya kiasili ya kikwenu ndo maana wazazi wako hawamtaki dada angu wa kimachame.........kama unataka kufa vizuri oa kwetu meeku,na kama nafsi inasita nenda kwenye kaburi la shekh yahaya hussein ukamuulize atakutabiria!
meona eeh? Proudly machame!cjui unaongelea wamachame wa karne ipi mkuu ila nakuhakikishia akuna k2 kama iyo huo ulikuwa na uvumi tu hivi utaua m2 sheria isichukue mkondo wake kweli? wanawaonea wivu kwavile ni wazuri wachapa kazi wanajua kujituma ata kama mwanaume ukuwa na ndoto za mafanikiwa utazipata tu.
haha Mentor! 2017? Karibu thana mashami!Kaka, nisubiri mimi ndoa January 2017..naoa Mmachame...i will giv u my experience!!!!
yeah! Me love mane! Its everythng 4 sure! Machame hoyee!Kweli kabisa usije ukathubutu kuoa Mmachame au Mchagga yeyote for that matter.Tunatisha kama ukoma....pesa ndo kitu pekee tunachokipenda kwa dhati...ndo maana tunafanya kazi wakati nyie wengine mmelala!Ushauri...oa wa kwenu kwasababu tabia ZENU zitakua moja na wazazi wako hawawezi kupinga kwasababu nao wanazo!!
so pathetic! U nid 7 days fasting prayersKi ukweli mkuu sio wamachame tu hili tatizo la wachaga wote wanawake na wanaume hawa watu hawajatiwa program ya kupenda wala kula vyakula vizuri na mungu nina ushahidi wa kutosha yaani ukioa m/mke wa kichaga nikama umeoa MATATIZO kwa m/mke wa kichaga bora nibaki hivi hivi au nimuombe mungu anichukue
haha Mentor! 2017? Karibu thana mashami!
Acha kuandika pumba....au ulete ushahidi wa mmoja aliyeua...aliyeuwawa...alivyouwawa na muuaji anavyopigwa vibao.wanaitwa wapalestina hao nenda huko machame ukaone majumba makubwa ya kifahari lakini hakai hata mtu mmoja wanayakimbia maana roho walizo zitoa huwarudia na kuanza kuwacharaza viboko usiku wa manane hapalaliki......