Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,229
- 1,389
Tafadhali usijaribu kuja kwetu nronga tutakutafuna kama simba urudi kwenu chakari wamachame tunaoana wenyewe tutakumeza unacheza wamachame ukiwa na mali tunakuua halafu mali inahamia kwetu ndo utaratibu tuliojiwekea na huyo demu wako anakutega atakufilisi ww ngoja ujichanganye kwe ndoa