Nisaidieni nijiunge na jeshi.

Nisaidieni nijiunge na jeshi.

shasil alonso

Member
Joined
Mar 12, 2013
Posts
27
Reaction score
1
habari! Mimi ni kijana umri wa miaka 21 nahitaji/napenda kujiunga na jeshi la nchi, yoyote mwenye moyo wa kunisaidia anisaidie, coz nilikosa nafasi mwezi wa kwanza 2014, mtaani sina ajira yoyote
 
habari! Mimi ni kijana umri wa miaka 21 nahitaji/napenda kujiunga na jeshi la nchi, yoyote mwenye moyo wa kunisaidia anisaidie, coz nilikosa nafasi mwezi wa kwanza 2014, mtaani sina ajira yoyote

Dogo hufai kwa maana wewe unataka jeshi kwa shida ungesema unataka kulinda nchi ungefaa.
 
Back
Top Bottom