Nisaidieni mwenzenu

Nisaidieni mwenzenu

thezila

Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
25
Reaction score
2
habari wapendwa,naomba msaada wa kina nimezaa na mwanaume matarajio ye2 ilikuwa 2funge ndoa lkn haikuwa ridhki amefnga ndoa na m2 mwingne pacpo kunijulisha kwa sasa mtoto ana miaka 3 hvyo anahtaji ma2nzo je nifanye nn kwan kila niwaclianapo na mzazi mwenzangu hat cm hapokei ni mfanyakazi,wapendwa nahtaji ushauri wenu
 
Pole sana. Nenda ofisi za Ustawi wa jamii zilizopo karibu nawe watakusaidia.
 
Duh pole sana mamie.......achana nae huyo ni wazi kua alikua anakutumia tu na hukujua dhamira yake

Pambana tu wewe kama wewe usiwe tegemezi

Mungu Mkubwa Mtoto atakua na life litaenda!!!!
 
Duh pole sana mamie.......achana nae huyo ni wazi kua alikua anakutumia tu na hukujua dhamira yake

Pambana tu wewe kama wewe usiwe tegemezi

Mungu Mkubwa Mtoto atakua na life litaenda!!!!
Tatizo Mtoto akikua ndio baba wasiojitambua kama huyo wanakumbuka kuwa walishawahi kuzaa,Aende tu ustawi wa jamii huyo baba akakumbushwe majukumu yake anayojisahaulisha.
Kwa nini alee Mtoto mwenyewe kama analea yatima wakati baba yupo?
 
Duh pole sana mamie.......achana nae huyo ni wazi kua alikua anakutumia tu na hukujua dhamira yake

Pambana tu wewe kama wewe usiwe tegemezi

Mungu Mkubwa Mtoto atakua na life litaenda!!!!

Usitumie nguvu kulea mtoto. Nenda Ustawi wa Jamii atimize wajibu wake. Ameshindwa kufanya kwa hiari yake atafanya kwa shuruti.
 
Duh! sorry sana,ushauri wangu muombe mungu kwani yeye ndiye mwenye msaada mkuu.Mungu awe nawe akuzidishie baraka.
 
Nenda polisi kitengo cha dawati la wanawake watakusaidia. Pole sana
 
nenda ofisi .za maendeleo ya jamii watakusaidia.....
 
nawewe utazaaje mtoto ambae huna uwezo wa kumtunza?ulishafikiria kwa mfano mjamaa akirip?akili zingine mbaya mbofumbofu tu
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Huwa wengine tukiandika hapa kuwa kuzaa kabla ya ndoa ni vibaya huwa twaonekana wabaya...

Ona sasa wewe ulidhania kuzaa na mwanaume pasipo ndoa ni kama kutapika kiporo cha makande, kuwa baada ya hapo matapishi hayo hayana thamani.

Haya hebu tafuta ustawi wa jamii haraka wakusaidie maana kisheria mwanao anahitaji matunzo ya babaye kifedha hadi atimize kama sijakosea miaka 12.

nimezaa na mwanaume matarajio ye2 ilikuwa 2funge ndoa lkn haikuwa ridhki amefnga ndoa na m2 mwingne pacpo kunijulisha kwa sasa mtoto ana miaka 3 hvyo anahtaji ma2nzo je nifanye nn kwan kila niwaclianapo na mzazi mwenzangu hat cm hapokei ni mfanyakazi,wapendwa nahtaji ushauri wenu
 
safi sana...ndio fundisho kwenu nyie mnaozaa kabla ya kuolewa
 
nawewe utazaaje mtoto ambae huna uwezo wa kumtunza?ulishafikiria kwa mfano mjamaa akirip?akili zingine mbaya mbofumbofu tu

Umemaliza, kwani nani aliyemwambia akizaa na mtu lazima aolewe. Yan kuna baadhi ya wanawake wenzetu wana akili za kuvukia barabara tu basi.

Me nikitaka mtoto nakuwa nna uhakika ntalea mwenyewe bila kutegemea mtu na ikitokea nilozaa nae akajishirikisha sawa ila sio kuweka akilini kuwa baba yake atasaidia malezi. Hapo ndo baadhi ya wanawake wanapokosea.

Hahahahah pole yako mwenzio mwanangu hadi baba yake anahaha yani kumuona tu tabu alitingisha kiberiti akakuta kimejaa hadi njiti zinamwagia acha utegemezi bwana. Mtoto ni zawadi yako.

Achana na ustawi wa jamii wala polisi hapo changanya akili tafuta biashara au kazi ya kufanya ulisongeshe na mwanao baaasi
 
Mwaya nenda ustawi wa jamii watakusaidia kwann ulee mtoto mwenyewe wakati libaba lipo? Mijanaume kama hiyo baadaye utaona inaleta ..p,..u...(m)...b.. Mbele 'mwanangu, nyooh!! Ulikuwa wapi siku zote? Atatoa kwa lazima!! Btw- jishughulishe ulee mwanao and next time usirudie makosa!!
 
Kuna mdada wa hivyo hivyo aluchofanya ni kwenda ustawi jamaa anakatwa (auto bank transfer) 80,000 kila mwezi kwa ajili ya matunzo ya kid, do the same na umeme ulivyopanda aache 200,000 pm
 
Pole sana,polisi kuna dawati la jinsia,wanawake na wtt,nenda hapo au ustawi wa jamii utapata msaada
 
Back
Top Bottom